MKUU WA MKOA WA MWANZA AFUNGUA KAMPENI YA USAFI JIJINI MWANZA
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mh.Evarist Ndikiro amefungua rasmi kampeni ya kuweka jiji la Mwanza katika hali ya usafi akishirikiana kwa ukaribu kabisa na Meya wa jiji la Mwanza Mh.Stanslaus Mabula, kampeni hii imeandaliwa na Halmashauri ya jiji la Mwanza ikishirikiana kwa ukaribu kabisa na chuo kikuu cha mtakatifu Agustino (SAUT) kilichopo jijini hapa. Kampeni hii inalengo la kutoa elimu na kuhamasisha jamii juu ya umuhimu wa kuliweka jiji la Mwanza katika hali ya usafi, kampeni hii imekuwa na kauli mbiu hii "Pamoja Tuliweke Jiji letu safi " Mkuu wa mkoa wa mwanza MH.Evarist Ndikiro akiwa na baadhi ya viongozi wengine wa jiji la Mwanza katika kuzindua kampeni ya usafi leo katika jiji la mwanza. Wa pili kutoka kushoto ni Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula pamoja na mkuu wa mkoa wa Mwanza Evarist Ndikiro katika kampeni ya usafi. Mkuu wa mkoa wa mwanza mh.Evaristi Ndikiro akifanya usafi wa jiji la mwanza leo. Wa pili kutoka kushoto ni meya wa jiji la mw