Posts

MAGUFULI ATIKISA MIKOA YA GEITA NA SHINYANGA

Image
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk Jonh Pombe Magufuli akifanya mkutano wa kampeni katika viwanja vya UWT CCM, Kahama. Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM, Abdalah Bulembo akiwataka wananchi kumchagua Magufuli. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Msitaafu, Samuel Sitta akimnadi Magufuli. Katibu Mwenezi wa Chadema, Musa Dida akirudisha kadi ya chama chake, kuvua gwanda na kuchukua kadi ya CCM. (P.T) Sehemu ya wakazi waliofurika katika viwanja vya UWT Kahama wakiwa na mabango ya kumfagilia Magufuli. Wakazi wa kijiji cha Bulungwa wakimsikiza Magufuli baada ya kumsimamisha barabarani Wakazi wa kijiji cha Igulwa Wakazi wa Mbogwe wakimsikiliza Magufuli   Wakazi wa mgodi wa Nyarugusu Kundi la waimbaji wa Yamoto Bendi wakifanya yao viwanja vya UWT Kahama. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe

HABARI KUTOKA MAGAZETINI IJUMAA HII, SEPTEMBER 25

Image
                                                                      

SELCOM YALETA MFUMO MPYA NA WA KISASA WA MALIPO YA TIKETI

Image
Kwa mara ya kwanza nchini Tanzania wahudhuriaji wa tamasha la ‘KiliFest’ wataweza kutumia Selcom Card kupata tiketi za tamasha hilo lililoandaliwa na kampuni ya Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ambalo litafanyika siku ya Jumamosi September 26, 2015 katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam. Kati ya mawakala wa Selcom zaidi ya 15,000 wanaopatikana nchi nzima ni mawakala 40 tu wameochaguliwa kuuza tiketi za KiliFest kwenye vituo vyao na wote hao wanapatikana Dar es salaam. Baada ya kulipia Tsh 10,000/- tiketi itawekwa moja kwa moja kwenye Selcom Card kwa njia ya kielektroniki ambapo mteja atakuwa amepata Selcom Card bure na atatakiwa kufika na kadi hiyo Leaders Club siku ya tamasha na kugonga (tap) kwenye mashine za POS za Selcom zitakazokuwa zinapatikana kwenye milango ya kuingilia ya Leaders Club ili kuhakikisha manunuzi ya tiketi. Selcom Card itamuwezesha mteja kupata tiketi za tamasha la KiliFest kwa sasa na kuitumia

TANZIA: MBUNGE WA ULANGA MASHARIKI, CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA

Image
Aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Celina Ompeshi Kombani enzi za uhai wake. Aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Celina Ompeshi Kombani amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu huko nchini India. Bi. Celina Kombani alizaliwa Juni 19 mwaka 1959 na kufariki jana Septemba 24 mwaka 2015. Mungua ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi!

Wabeza matokeo ya utafiti wa Twaweza

Image

KUTOKA KWA MALISA GODLISTEN: FINDINGS ZA TWAWEZA ZINA UKAKASI.

Image
Soma mawazo ya Godliten Malisa baada ya twaweza kutoa majibu ya tafiti zao. -Watu waliohojiwa ni 1,848. - Idadi ya wapiga kura mil.24 - Wastani 1:14,000 -Yani mtu mmoja anawakilisha maoni ya wapiga kura 14,000. KASORO: Twaweza wameonesha hawapo serious. Huwezi kutumia sample size ya watu elfu moja kuwakilisha maoni ya watu milioni 24. WAGOMBEA WANAVYOKUBALIKA; -Magufuli 65% -Lowassa 25% -Wagombea wengine 05% -Ambao hawajaamua 07% -JUMLA 102%. KASORO: Asilimia za utafiti zimezidi 100.! Fabricated data. WAGOMBEA WANAVYOUNGWA MKONO NA MAKUNDI YA WATU; -Lowassa - Vijana - Magufuli - wazee - Wagombea wengine -Vijana &wazee - Lowassa - Wasomi - Magufuli - Wasiosoma. - Wengine - wasomi &wasiosoma KASORO: Twaweza wanatuambia moja ya njia zilizotumika kuwafikia wapiga kura ni simu. Sasa jiulize kati ya vijana na wazee kundi lipi linamiliki simu zaidi. Na kati ya wasomi na wasiosoma nani anafanya mawasiliano ya simu zaidi? Twaweza wanatuambia kwamba