Posts
MATOKEO CHAMPIONS LEAGUE, BARCELONA AIBUKA MSHINDI DHIDI YA ARSENAL HUKU JUVENTUS NA BAYERN NGOMA DRO
- Get link
- Other Apps
Jaji wa mahakama ya juu asimamishwa kazi
- Get link
- Other Apps
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amemsimamisha kazi jaji wa mahakama ya juu aliyetuhumiwa kuchukua hongo katika kesi kuhusu kuchaguliwa kwa gavana wa Nairobi. Jaji Phillip Tunoi amesimamishwa kazi na Rais Kenyatta ameteua jopo la kuchunguza madai dhidi yake, kwa mujibu wa mapendekezo ya Tume ya Huduma za Mahakama. Jopo la kumchunguza jaji huyo litaongozwa na Jaji Sharad Rao ambaye ndiye mwenyekiti wa Bodi ya Kuwachunguza Majaji na Mahakimu. Wanachama wengine wa jopo hilo ni Jaji Roselyn Korir,Jaji Mstaafu Jonathan Havelock,Judith Guserwa, James Kaberere Gachoka, Abdirashid Abdullahi Hussein na George Munji Wakukha. Jaji huyo anadaiwa kupokea rushwa kiasi cha shilingi $2m za Kenya ambapo yeye amekanusha madai dhidi yake. Chanzo BBC
Taarifa ya TBS kwa wazalisha nondo kuanza kuweka lebo / TBS steel bar ID & labelling
- Get link
- Other Apps
Mjapan huyu aliyepo Tanzania kwa utafiti anaomba msaada baada ya kuibiwa
- Get link
- Other Apps
Ujumbe ufuatao umepokelewa kupitia WhatsApp... Jana nikiwa Mombo nilimwona kijana mmoja wa kijapan amejibandika matangazo kifuani na mgongoni. Nilimwuliza kulikokoni akanieleza kuwa aliibiwa juzi vitu vyake ndani ya basi la Kidia one akisafiri kati ya dar Arusha. Kamera laptop na daftari 5 among other things. Vitu hivyo ni vina Research work aliyofanya miezi 6. Anaomba Msaada apate daftari zake. Na kama unavyoona yuko tayari kutoa 300,000/- Habari hii inatia uchungu sana. Tafadhali saidia kusambaza kwa makundi mengine huenda akafanikiwa. Tumemshauri pia aende clouds fm na media house zingine .