Posts
Showing posts with the label DOWNLOAD
NEW SONG: DOWNLOAD NA SIKILIZA WIMBO UNAITWA "HELLOW" WA DR KAIS FT JAXFLUX
- Get link
- Other Apps
Wimbo unaenda kwa jina la "hellow" umeimbwa na Dr Kais anayeonekana kwenye picha akimshirikisha Jaxflux, wimbo umetengenezwa katika studio za Creativity Music Sound chini ya producer Divai, studio hii inapatikana Musoma, kwa taarifa zaidi unaweza kumpigia kwa namba hii 0758016717. Download na kusikiliza pia unaweza kumtumia na rafiki yako whatsapp. Anapatikana pia facebook kupitia account hii https://www.facebook.com/kasim.kais
NEW MUSIC:SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO MPYA WA MAVOLUME FT DIVAI "MAPENZI SIASA"
- Get link
- Other Apps
One of the best song ambayo naitamani kuisikiliza kila mara kutoka kwa msanii "Mavolume" inayokwenda kwa jina la "Mapenzi Siasa" wimbo huu ameuachia rasmi leo katika vyombo vya habari. Wimbo huu amemshirikisha producer wake anayeitwa Divai anayepatikana katika studio ya Creativity Music Sound inayopatikana katika Mji wa Musoma. Nyimbo hii naifanya kuwa best kwa sababu ya mpangilio wa Beat, sauti na ujumbe uliobebwa katika nyimbo hii na flow za taratibu kutoka kwa Mavolume, Lets Join our hands together kwa kumsupport Mavolume, unaweza kumtumia ujumbe wowote kupitia account yake ya facebook kwa kubofya hapa chini. Frank Revocatus aka Mavolume
NEW SONG: DOWNLOAD NA KUSIKILIZA TEAM SHAROBARO - ALELE
- Get link
- Other Apps
BRAND NEW: SIKILIZA NA KUDOWNLOAD NYIMBO MPYA YA IZZO BIZNESS - "Walala Hoi"
- Get link
- Other Apps
Walala Hoi ndo jina la wimbo kutoka kwa Izzo Bizness, Produced Duppy [Switch records] WALALA HOI lyrics Intro: Walala hoi…Walala hoi…Walala hoi Chorus: Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4 moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x 4 Verse 1: Tunaunga unga maisha yetu ni safari bado tunataabika (Walala hoi) / tunakomaa maisha ni safari imani ipo bado sisi mbali tutafika (Walala hoi) / tumazaliwa kwenye njaa njaa imetulea sisi home mali hatujakuta (Walala hoi) / mama Yanga baba Simba upinzani babu ndani yani kila dakika (Walala hoi) / kupinda ni sheria usishangae huku kwetu mbona imeshazoeleka (Walala hoi) / hatujasoma dili chafu leta pesa babu hata iwe dili ya kuteka (Walala hoi) / tunaonekana hatuna maana tunatengwa kona zote twa dharaulika / majina yote sisi Vidampa wapumbavu wezi majambazi yote wametupachika / Rhumba kali wewe utadata/ soma pata ondoa shaka/ faster umenipata chafu tatu maisha karata
MUSIC: Download na Kusikiliza wimbo wa Nikki Mbishi - "Yote Sawa"
- Get link
- Other Apps
[New Music] Sam wa ukweli ft Rich Mavoko & Zed Anto – Ameshaolewa
- Get link
- Other Apps
DOWNLOAD NA KUSIKILIZA WIMBO MPYA WA MALFRED- "PIGANA"
- Get link
- Other Apps
TANGAZO KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
- Get link
- Other Apps
Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani la Tanzania anapenda kuwatangazia watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) mwezi, Mei 2014 kama Watahiniwa wa Kujitegemea kwamba kipindi cha usajili kitaanza rasmi tarehe 1 Julai, 2013 kwa ada ya Shilingi 35,000/=. Kipindi cha malipo bila adhabu kitaishia tarehe 31 Agosti, 2013. Kuanzia tarehe 1 Septemba, 2013 hadi tarehe 30 Septemba, 2013 waombaji watajisajili kwa ada ya Shilingi 50,000/- (ada pamoja na faini). Waombaji wote watajisajili kwa njia ya mtandao kupitia tovuti: www.necta.go.tz. ya Baraza la Mitihani la Tanzania. Kabla ya kujisajili kwenye mtandao waombaji watapaswa kwenda kwenye vituo vya mitihani kuchukua namba rejea (reference number) watakazotumia kujisajili. Hakuna mtahiniwa atakayeweza kujisajili bila kupata namba rejea kutoka katika kituo anachokusudia kufanyia Mtihani. Wakuu wote wa vituo nchini watakabidhiwa namba rejea hizo kabla ya muda wa usajili kuanza na watazig