Posts

Showing posts with the label NEWS

URENO KUTOKA ‘BEST LOSER’ HADI MABINGWA WA EURO 2016

Image
Ureno wameweza kuikabili Ufaransa na kuichapa bao 1-0 kwenye mchezo wa fainali ya michuano ya Euro 2016 na kushinda taji lao kubwa kwa mara ya kwanza bila ya nahodha wao Cristiano Ronaldo aliyetoka mapema kipindi cha kwanza baada ya kuumia. Loser Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid alibebwa kwenye stretcher huku akibubujikwa na machozi dakika ya 25 ya mchezo dakika nane baada ya kuumia goti alipopambana na mfaransa Dimitri Payet. Ufaransa timu ambayo ilipewa nafasi kubwa ya kushinda ubingwa huo, walishindwa kupata bao kwa kutumia faida ya kukosekana kwa Ronaldo uwanjani licha ya kukaribi kupata bao dakika za lala salama kupitia kwa Andre-Pierre Gignac aliyeingia kutoka benchi ambapo shuti lake liligonga mwamba. Raphael Guerreiro alipiga mpira wa adhabu ndogo uliogonga mtambaa panya lakini sekunde chache baada ye Eder aliachia shuti la chinichini akiwa umbali wa mita 25 kutoka golini lililomshinda golikipa wa Ufaransa Hugo Lloris na ku

Wafanyabiashara wakubwa wanaokamatwa kwa kukwepa kodi waongezeka

Kikosi kazi maalumu cha vyombo vya dola, kinaendelea na kamatakamata dhidi ya wafanyabiashara wanaodaiwa kuwa kwenye mtandao wa ukwepaji kodi na utengenezaji wa stakabadhi feki, huku kilio kikitawala kwa wafanyabiashara wa Jiji la Arusha na Dar es Salaam. Idadi ya wafanyabiashara hao waliokamatwa katika msako huo imeongezeka na kufikia zaidi ya 10 hadi kufika jana jioni. Chanzo cha kuaminika jijini Arusha kililiambia MTANZANIA kuwa, wafanyabiashara wawili wa jijini humo walikamatwa Jumamosi Julai 2, mwaka huu na kulazwa mahabusu katika Kituo Kikuu cha Polisi. Wafanyabiashara hao ambao majina yao yamehifadhiwa walikamtwa na kikosi hicho, kisha kusafirishwa hadi jijini Dar es Salaam. Mmoja wafanyabiashara hao ni mmiliki wa kampuni za ujenzi na huduma za kusambaza mafuta kwenye minara ya kampuni za simu. “Ni kweli wamekamatwa wafanyabiashara wawili wa hapa Arusha ambao (anawataja majina), huyo mmoja ni mmiliki wa maduka makubwa ‘Super Market’ hapa mjini ambaye pia ndiye aliyekuwa waka

Taarifa kuhusu kuanzishwa kwa rajisi kuu ya namba tambulishi za mikononi

Image
ISO 9001:2008 CERTIFIED Ndugu Waandishi wa Habari; Tumewaita hapa leo ili tuwapatieni taarifa ya utekelezaji wa mpango wa kuzuia simu bandia za kiganjani zisitumike kwenye mitandao ya simu hapa nchini. Kama ambavyo mnakumbuka, usiku wa tarehe 16 Juni 2016 simu bandia zilizuiwa kutumika katika mitandao ya simu. Maagizo ya Serikali kuzuia matumizi ya simu bandia kwenye mitandao ni sehemu ya mpango wa kuanzishwa kwa rajisi kuu ya Namba Tambulishi za simu za mkononi, kwa kifupi CEIR ambayo ni Central Equipment Identification Register. Uthibiti wa matumuzi ya simu katika mitandao ya mawasiliano kunatokana na kuongezeka kwa umuhimu wa simu na vifaa vya mkononi vya mawasiliano kama nyenzo muhimu kimaisha, kijamii, kiuchumi, na kiusalama. Vifaa vya mkononi vya mawasiliano ambavyo vinatumia laini ya simu, yaani SIM card kuwasiliana vina namba maalum inayoitambulisha, ambayo inaitwa IMEI – kifupisho cha International Mobile Equipment Identity. Mfumo wa Rajisi kuu ya Namba Tambul

MAPATO YAONGEZEKA BANDARINI

Image
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kupungua kwa mizigo bandarini kumeathiri si Tanzania pekee bali dunia nzima na kwamba kubanwa kwa mianya ya wizi kumesababisha kuongezeka kwa mapato kutoka Sh bil 458 Aprili mwaka huu kufikia Sh bil 517. Aidha, TRA imesema itaanza uhakiki wa namba za utambulisho wa mlipakodi (TIN) kutokana na kuwepo watu wenye namba mbili na wasiohakiki watalazimika kudaiwa kodi na TRA. Akizungumza katika mkutano na wanahabari jana, Kamishna wa TRA, Alphayo Kidata alisema upungufu huo wa mizigo bandarini umezikumba pia bandari za Beira, Msumbiji, Mombasa, Kenya na kwingineko na kusababisha mapato kupungua. “Lakini sisi pamoja na upungufu wa mizigo bandarini makusanyo yanazidi kuongezeka kutokana na kuzibwa mianya ya kukwepa kodi, hivyo napenda kuwapongeza wafanyakazi wote wa mamlaka na kusema kwa sasa hakuna mtu anayeweza kukwepa kodi na wale waliozoea wakae katika njia kuu,” alisema Kidata.

Hardware Analyst 1 post

Duma Works is recruiting a   Hardware Analyst   for one of our clients. The company is one of the leading solar companies in Sub-Saharan Africa, that provide and finances accessible, affordable, and energy-efficient appliances designed for off-grid homes and businesses. Location: Mwanza, Tanzania Role Summary The Hardware Analyst is a critical member of our growing team.  For an early-career professional or engineer with electronics experience, it is a great opportunity to develop your skills and build a career in the growing solar industry. Responsibilities: You are responsible for a variety of mission critical areas that will give you exposure to all aspects of our operations and technology: Testing and quality control of solar, battery, and communications hardware received from manufacturer; Product development support, including prototype hardware programming, measurement, and testing;  Troubleshooting of hardware failures, determining root cause and potential fixes;  Custome

Open job opportunities at the EAC

Image
Click for more information on the following open job opportunities at the East African Community: Registrar (Re-Advertised)   D1  Arusha, Tanzania  Friday, 8 July 2016 - 5:00pm  Deputy Registrar, Mergers and Acquisitions (Re-Advertised)   P5  Arusha, Tanzania  Friday, 8 July 2016 - 5:00pm  Deputy Registrar, Monopolies and Cartels (Re-Advertised)   P5  Arusha, Tanzania  Friday, 8 July 2016 - 5:00pm  Principal Accountant (Re-Advertised)   P3  Arusha, Tanzania  Friday, 8 July 2016 - 5:00pm  Principal Civil Aviation Officer (Re-Advertised)   P3  Arusha, Tanzania  Friday, 8 July 2016 - 5:00pm  Principal Environment & Natural Resources Officer (Re-Advertised)   P3  Arusha, Tanzania  Friday, 8 July 2016 - 5:00pm  Principal Health Officer (Clinical Research) (Re-Advertised)   P3  Bujumbura, Burundi  Friday, 8 July 2016 - 5:00pm  Principal Health Officer (Operational and Applied Research) (Re-Advertised)   P3  Bujumbura, Burundi  Friday, 8 July 2016 - 5:00pm  Principal Legal Offic

Tanzanians seeking studies abroad increase

The number of Tanzanian students seeking to study abroad has steadily increased with the Global Education Link alone registering nearly 6,000 new applicants for the 2016/17 academic year. Global Education Link Ltd Managing Director, Mr Abdulmalik Mollel, told Chief Justice Mohammed Chade Othman that the large number of applications is in the area of engineering science and medicine. "Most students are looking for universities to pursue their degree courses in science and it is unfortunate that our higher learning institutions cannot accommodate the demand," he said. He said for the last five days since Global Education Link Limited opened office at the Mwalimu Julius Nyerere Trade Fair Grounds in Dar es Salaam about 400 students had registered to advance their studies abroad. "We cannot guarantee that all will be successful, some are just searching for details and want to make comparisons while others are indeed looking for universities," he said. He observed

Taarifa ya Wizara kuhusu malipo ya VAT katika shughuli za utalii

Image

MAGAZETI YA LEO JUMATATU

Image

OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA YAENDELEA NA UHAKIKI WA VYAMA NCHINI

Image
Mhasibu kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Bw.Willium Brown Nyamtiga akisisitiza jambo kwa viongozi wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Jana wakati wa Zoezi la uhakiki uliofanyika katika ofisi za chama hicho zilizopo Jijini  Buguruni Dar es salaam . Zoezi la uhakiki wa  utekelezaji wa masharti ya usajili wa Vyama va Siasa  kwa upande wa Tanzania Bara  linaendelea .Tayari  vyama 18 vimekwishakuhakikiwa. Vyama vinne vinatarajiwa  kuhakikiwa  Julai 4. Zoezi hili ni zoezi la kawaida na endelevu  ambalo hufanyika  kila mwaka ili kupima endapo vyama vya siasa   vinakidhi matakwa ya  Sheria ya usajili wa vyama vya Siasa. Uhakiki wa Vyama vya siasa ni zoezi muhimu sana kwa sababu ni zoezi ambalo hug

POLISI, WANANCHI RASMI KATIKA MAPAMBANO

Image
Mkuu wa Polisi wilaya ya Arusha (SSP) Emmanuel Tille akiongea na viongozi wa kata ya Moivaro tarafa ya Suye pamoja na askari wa vikundi vya ulinzi shirikishi wakati wa uzinduzi wa vikundi vinne vya kata hiyo. Diwani wa kata ya Moivaro Rick Moiro akiongea na askari wa vikundi vya ulinzi shirikishi toka kwenye baadhi ya mitaa ya kata yake mara baada ya uzinduzi wa vikundi hivyo.  Mkuu wa Polisi wilaya ya Arusha (SSP) Emmanuel Tille akiwakagua askari wa vikundi vya ulinzi shirikishi kutoka mitaa ya Ngurumausi, Oldonyommasi, Moivaro Kati na Shangarao. Baadhi ya viongozi wa kata ya Moivaro pamoja na askari wa vikundi vipya vya ulinzi shirikishi wakimsikiliza kwa umakini Mkuu wa Polisi wilaya ya Arusha (SSP) Emm

Magazeti ya Leo Jumamosi, Julai 2

Image