Posts

Malkia Elizabeth 11 afungua mkutano wa CHOGM 2011 Perth Australia leo

Image
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (watatu kulia mstari wa pili) akiwa na baadhi ya wakuu wa nchi wanachama wa Jumuia ya madola wakimsikiliza mtu mwenye asili ya watu wa Australia ( anaeonekana kwenye kingamuzi) akielezea asili ya nchi hiyo leo mjini Perth nchini Australia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa jumuia ya madola. -28 oktober 2011. (Picha zote na Mwanakombo Jumaa - Maelezo) Rais Jakaya Mrisho Kikwete (watatu kulia mstari wa pili) akimsikiliza Malkia Elizabeth 11 wakati akifungua mkutano wa siku tatu wa wakuu wa Nchi wanachama wa Jumuia ya madola leo mjini Perth nchini Australia.

UNYANG’ANYI WA KUTUMIA SILAHA WATISHIA MAISHA YA WANAFUNZI WAISHIO HOSTEL ZA NJE SAUT MWANZA

Image
Matukio ya unyang’anyi yamekuwa yakitokea maeneo ya Chuo cha Mtakatifu Agustino ambapo baadhi ya wanafunzi wamekuwa wakinyang’anywa vitu vyao vya thamani na hata kujeruhiwa kwa vitu vyenye ncha kali. Siku ya Jumatatu tarehe 24/10/2011 majira ya saa nne za usiku mabinti watatu walivamiwa maeneo ya karibu na hosteli za chuo hicho za Rugambwa, ambapo kati yao wawili waliojulikana kwa jina moja moja ni Getrude na Neema,wanafunzi wa shahada ya masomo ya jamii mwaka wa 3 (BA. in Sociology) na tukio lingine ni la mwanafunzi wa shahada ya mawasiliano ya umma mwaka wa 3 (BA. in Mass Communication) Jaysam Jeremiah lililotokea tarehe 25/10/2011 majira ya saa 5:30 usiku siku moja baada ya kutokea tukio la kwanza ,Jaysam alijeruhiwa mkononi na kutibiwa zahanati ya chuo usiku huo huo. Akizungumzia kuhusu tukio hilo Jaysam amemuomba mkuu wa jeshi la polisi Mkoani Mwanza Kamanda Libelatus Baro kwa kushirikiana na Uongozi wa Chuo cha Mtakatifu Agustino kuimarisha Ulinzi

FROM SAUT: MR. PETER MWIDIMA, PUBLIC RELATIONS OFFICER TO VISIT UNITED STATE OF AMERICA AT THE END OF THIS MONTH.

Image
Deputy Public Affairs Officer, Mr. Roberto Quiroz II (right) presents Mr. Peter Charles Mwidima (left) LIFE’s 70 Years Platinum Anniversary Collection book at the U.S. Embassy in Dar es Salaam during a recent visit. Mr. Peter Charles Mwidima, Assistant Director of Human Resources at St. Augustine University in Mwanza, will visit the United States from October 31 through November 18 to participate in the “Challenges in Higher Education” International Visitors Leadership Program (IVLP). The program will be held in Washington D.C, and the states of Pennsylvania, Utah, Washington, Oregon, and Georgia. St. Augustine hosts over 500 faculty members and 14,000 students, and an American Corner which opened in 2009. Mr. Mwidima earned undergraduate and graduate degrees from the university’s School of Journalism and Mass Communications, and previously worked as an Assistant Lecturer and Public Relations Officer. The program will offer an overview of higher

IT'S INTERCAMPUS BEACH BASH AT MBALAMWEZI

Image

MADA MAUGO KUIPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA LEO CCM KIRUMBA MWANZA

BONDIA Machachari nchini Mada Maugo amesema kuwa atamchapa kipigo cha mbwa mwitu bondia mwenzake kutoka nchini Kenya, Joseph Odhiambo kwenye shindano la raundi nane la ngumi linalotarajiwa kufanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba (leo). Aliyasema hayo jana muda mfupi mara baada ya kufanyika zoezi la kupimwa uzito kwa mabondia wote 12 watakaoshiriki katika pambano la leo. Huku akionekana kujiamini akitumia kauli yake ya uzawa, Maugo alisema kuwa yuko bomba na amewataka watanzania na wapenzi wa ngumi hususani wale wa Kanda ya ziwa wajitokeze leo kwa wingi kuupata uhondo na kushuhudia jinsi ambavyo anamshikisha adabu jirani yake bondia kutoka nchini Kenya Joseph Odhiambo. Naye Joseph Odhiambo kutoka nchini Kenya, licha ya kukiri kumfahamu Mada Maugo katika ulimwengu wa masumbwi na kuwashukuru wakazi wa mikoa ya kanda ya ziwa, alisema kuwa hana hofu juu ya pambano hilo kwa madai kuwa ametoka mbali na anaamini atashinda katika pambano hilo la raundi 8 kwa

OXFORD WALETA VITABU SAUT.

Image
Shirika la machapisho ya vitabu Oxford University Press tawi la Tanzania wanafanya maonyesho yanaoyoendana na mauzo ya vitabu katika chuo cha Mtakatifu Agustino(SAUT) Malimbe, Mwanza, ambapo vitabu vya fani mbalimbali vinapatikana katika maonyesho hayo maeneo ya chuo hicho. Vitabu vya fani ya Uwandishi wa Habari, uwalimu, ujasiriamali, biashara, uchumi, uhandisi, computer,uongozi, masoko na kadhalika vinapatikana sehemu hiyo. Wanafunzi wa fani mbalimbali wakiangalia vitabu kutoka Oxford katika workshop hiyo siku ya jana.

BRAND NEW TRACK KUTOKA KWA "CMB PREZZO" FEAT: ULOPA- 4 SHO 4 SHIZZY

Image
Jackson Makini aka CMB PREZZO kutoka nchini Kenya amedondosha kazi mpya 4 SHO 4 SHIZZY aliyomshirikisha Producer wa ngoma hiyo ULOPA kutoka katika studio ya SAMAWATI ya Jijini Nairobi Kenya,Video ya kazi hii ameshoot na kampuni ya BOOMBA Video inatarajiwa kutoka baada ya wiki mbili katika vituo vyote vya Tv Africa nzima download kupitia link hii http:// hulkshare.com/ss7iwpcc8dt8

MCHINA ALIYEUAWA NA MAJAMBAZI ACHOMWA MOTO

Image
Marehemu enzi za uhai wake. Askari wa kikosi cha usalama barabarani akiongoza msafara kwenda eneo la kuchomea maiti. Mwanamke wa Kichina aliyeuawa kwa kupigwa risasi na majambazi Jumanne iliyopita sehemu ya Kurasini jijini Dar es Salaam Han Bing leo mwili wake umechomwa moto kwenye eneo maalum la shughuli hiyo liitwalo Shree Hindu Mandal, lililoko Kijitonyama, jijini Dar es Salaam ikiwa ni kutimiza mila na desturi za jamii yake. Mwili ukishushwa kwenye gari baada ya kufika sehemu ya kuchomea. Ndugu na jamaa wa karibu na marehemu wakilia kwa uchungu. Waziri wa Nishati na Madini, William Ngereja, akisoma risala kwa waombolezaji. Mwili ukiwa tayari kwa ajili ya kuchomwa. Waziri Ngereja (kushoto) akitoa heshima za mwisho kwa Kichina sambamba na Wachina wengine mbele ya sanduku lenye mwili wa marehemu. Akiwapa pole wafiwa. Vilio vikiendelea kila kona. Waombolezaji wakivitupia kwenye moto vitambaa vyeusi walivyovaa kwa ajili ya msib

WAREMBO WA CHUO KIKUU KUTOANA JASHO JUMAMOSI HII

Image
Shindano la kumsaka mrembo wa chuo kiu cha Kmpala International University 2011 litarajiwa kufanyika jumamosi hii katika ukumbi wa Savanna Lounge (quality center) uliopo barabara ya Pugu,jumla ya warembo 12 wamejitokeza kuwania taji hilo siku ya tarehe 22 octoba. Shindano litapambwa na wasanii wa kizazi kipya kipya Dully sykes,D-nob,Ngoma za asili na vijana wa kutikisika(shers),mabali ya burudani hizo kutakuwa na suprize ya majai pamoja masupastaa wa movie. Miss Kampala Internationa 2011 imeandaliwa na serikali ya wanafunzi ikishirikana na wadau maarufu wa mabo ya urembo na mitindo nchini Tanzania,tiketi za fainali hizi zinapatikana CLOUDS fM,CHUONI KWAO,JB BELMONT HOTEL,SAVANNA LOUNGE(quality center)kitchen hut (mlimani city) kwa iasi cha 10,000/= (regular) na V.I.P 30,000/= Shindano hili limedhaniwa na Savanna Lounge hotel,Belmont hotel,clouds fm,Air Uganda na uniqueentertz blogspot.

MT.KILIMANJARO HAS BEEN NOMINATED AS ONE OF THE NEW 7 NATURAL WONDERS OF THE WORLD

Image
The voting competition is a global efforts,and one can vote and winning will benefit all Tanzanians. There is very little time to cast your vote and do your party to keep Tanzania on Top....vote now at www.new7wonders.com make sure you follow all steps after finishing to vote so as your vote to be counted

KIBENDI CHA MWANADADA BEYONCE KNOWLES .......

Image

SAUT BORN FIRE..WAS AWESOME!!!!

Image
Serikali ya Wanafunzi ya SAUT jana ilidhihirisha hisia zao za kuwajali wanajamii ya SAUT pale ilipoandaa moja bonge la party lililomshusha mtu mzima ROMA Mkatoliki kwa ajili ya kuwakaribisha Wanafunzi wa mwaka wa kwanza. Msanii huyo wa Hip Hop nchini Roma Mkatoliki aliwapagawisha wanafunzi wa SAUT kwa kufanya show ya nguvu pande hizo on “Born Fire” ambayo ni event yakuwakaribisha mwaka wa kwanza 2011/2012 inayofanyika mwanzoni mwa kila mwaka wa masomo. Roma jana alipanda majira ya saa sita za usiku na kuanza kwa Akapela iliyowaacha baadhi ya mashabiki wake wapige kelele kwa kuimba Roma!!! Roma !!!Roma!!!.. Roma alimaliza na kibao chake cha Mathematics kilichowaacha mashabiki hoi katika tukio hilo. Pata matukio yote katika picha….. Fire was burning.... DJ Mussa kutoka Villa Club ya jijini Mwanza alikuwa ndie DJ wa usiku huo kwenye one 'n' Two... Ilikuwa ni nyomi mbaya pande zile pale.. Hata Kwetu wapo ..the local Artist in Mwanza akisababisha mbe