Posts

HAPPY BIRTHDAY SALOME:

Image
Nakutakia maisha mema na marefu my dear........

PUBLIC RELATIONS MANAGERS NIGHT

Image
WANAFUNZI WOTE KUTOKA KILA KITIVO HAPA CHUONI SAUT MNAKARIBISHWA KATIKA USIKU WA PR PALE GOLDEN CREST HOTEL,TAREHE 19/11 KUANZIA SA 1 USIKU MPAKA CHOKA MWENYEWE.

SAMAHANI WAPENZI WA BLOG HII

Kutokana na Tatizo la umeme,kuna wakati nashindwa kupublish habari wapenzi wa blog hii,nawaomba tuvumiliane.

FROM SAUT: PUBLIC RELATIONS MANAGERS DAY @ GOLDEN CREST HOTEL, 19TH NOVEMBER, 2011.

Image

REDD’S UNI-FASHION BASH-MWANZA YAPATA WATAKAOSHIRIKI KWENYE FAINALI.

Image
Zaidi ya washiriki 60 walishiriki katika kinyang’anyiro cha mchujo wa kuwapata washiriki watakaoingia fainali na kuchuana katika mashindano ya ubunifu na uwanamitindo yanayoandaliwa na kinywaji cha Redd’s yanayojulikana kama Redd’s Uni-Fashion Bash yatakayofanyika katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino, Mwanza utakaoshirikisha wanafunzi toka SAUT na CBE. Mchujo huo uliofanyika hapo jana katika Chuo Cha Mt. Agustino ulishuhudia wabunifu 12 na Wanamitindo 24 wakifanikiwa kuingia kwenye fainali hizo. Wabunifu waliofanikiwa kuingia fainali ni Mash S. Julius (SAUT), Likwe Franers J. (SAUT), Mwihave Edga (SAUT), Ngolo Mlengeya (SAUT), Hilda Kibaki (CBE), Simon Joseph (SAUT), Mariam Hamis (SAUT), Joseph Timoth (CBE), Shila Chato (SAUT), Magreth Mwabusa (SAUT), Gerin D Siimay (SAUT). Wanamitindo 24 waliofanikiwa kuingia katika fainali ni Joyce Kalinga, Sundy Pendwa, Elizabeth Israel, Happyness Emmanuel, Perioth Malaki, Noela Simon, Aisha Idrisa, Ibrahim Samwel,

UDSM KIMENUKA: WANAFUNZI WAANDAMANA KUDAI FEDHA ZAO ZA MIKOPO KWA AJILI YA MALAZI NA CHAKULA.

Image
Askari wa kutuliza ghasia wakielekea Ubungo ambapo wanafunzi wa UDSM hasa wa mwaka wa kwanza walikusanyika katika maandamano yenye lengo la kuishinikiza bodi ya mikopo kuwapatia fedha zao kwa ajili ya chakula na malazi. Gari la polisi lenye maji ya kuwasha likielekea kudhibiti maandamano hayo. Wanafunzi wa UDSM, Hapa ni Academic bridge.wanafunzi wakijadili baada ya kuvurugwa maandamano yao, hata hivyo wameapa kujipanga na kuendelea baadaye.wanaandamana kuhusu kudai mikopo ya mwaka wa kwanza ambao hadi sasa hawajapewa pesa ya chakula wala malazi. / tzcampusvibe.wordpress.com

AFTER CLASS I SHOW LOVE WITH MA CLASS MATE

Image
hao ni group members wenzangu nao kamera ikatumlika................. After kipindi tukashow love na viongozi wangu wa darasa,ambao pia ni wadau wa blog hii,kutoka kushoto ni Mikidadi Ismail,Aisha (CR),Mimi, kelvin Mlay (CR) Pamoja na Mbunge wa PR 2 Madaraka Amos.

STREET UNIVERSITY INAKUJA ARUSHA GET READY

Image

UNI FASHION BASH AT ST.AUGUSTINE UNIVERSITY

Image

MIXTAPE YA UKWELI VOL 2: THE RETURN OF THE BILINGUAL BEAST

Image
MIXTAPE YA UKWELI VOL 2: THE RETURN OF THE BILINGUAL BEAST You Can Download WAKAZI Mixtape "Mixtape Ya Ukweli Vol. 2" for FREE at http://www.zshare.net/download/89996954ae254e79/

Miaka 50 ya Uhuru ona hali za hospitali zetu

Image
Tunaadhimisha miaka 50 tangu Tanganyika ipateuhuru wake kwa mkoloni,lakini licha ya kujivunia kwa mambo lukuki kuwa TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA SASA NCHI INASONGA MBELE lakini katika hili la afya hasa wodi za akina mama waja wazito bado hatujaweza kuondopa kero ya vitanda na wodi katika Hospitali zetu nyingi. Serikali haina budi kuamka sasa na kunadi shangingi 1 kila Wizara au Taasisi kubwa ili kununua hata vitanda na kujenga Wodi za akina mama hawa. Isipofanyika hili haraka itafikia hatua kiongozi fulani akitaka kujifungua atapelekwa India maana huduma zetu hazikidhi kiwango.

Dancehall Thursday @Runway Lounge

Image