Miaka 50 ya Uhuru ona hali za hospitali zetu

Tunaadhimisha miaka 50 tangu Tanganyika ipateuhuru wake kwa mkoloni,lakini licha ya kujivunia kwa mambo lukuki kuwa TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA SASA NCHI INASONGA MBELE lakini katika hili la afya hasa wodi za akina mama waja wazito bado hatujaweza kuondopa kero ya vitanda na wodi katika Hospitali zetu nyingi. Serikali haina budi kuamka sasa na kunadi shangingi 1 kila Wizara au Taasisi kubwa ili kununua hata vitanda na kujenga Wodi za akina mama hawa. Isipofanyika hili haraka itafikia hatua kiongozi fulani akitaka kujifungua atapelekwa India maana huduma zetu hazikidhi kiwango.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA