Picha: Maziko ya Whitney Houston
Gari iliyobeba maiti ikielekea kanisani Waombolezaji wakifika kanisani Kitabu cha maombolezo kikiwa kinajaa saini za waombolezaji Jeneza ikitolewa kanisani na kupelekwa kwenye sehemu ya kuzikia Ray J (aliyezungushiwa duara jekundu) akiligusa jeneza la aliyekuwa mpenzi wake Whitney Houston Ulinzi ulikuwepo wa kutosha Bobby Brown (mwenye miwani) akihudhuria mazikoni, lakini alizuiliwa kuingiaa na wageni wake ambao walikuwa tisa. Yeye alipewa mualiko wa mpaka wageni wawili tu. Bobby Brown akiondoka msibani hapo baada ya kukataliwa kuingia kanisani na wageni wake wote aliokwenda nao Kevin Costner akitoa nasaha zake msibani hapo Steve Wonder akiimba msibani hapo Tyler Perry nae alikuwa na machache ya kusema Alicia Keys akiimba Wana kwaya wakiimba msibani hapo katika kanisa ambalo ndilo Whitney alipoanzia kuimba