Warren G Tanzania na nchi zingine za kiafrika zikiendelea kupinga vitendo vya kishonga ambavyo viko kinyume na maadili ya kiafrika, Rapper mkongwe na producer wa muziki wa hip hop kutoka West Coast, Warren G ameibuka na kuiambia website ya Huffington Post wakati wa interview kwamba yuko tayari kuwasaidia ma rappers ambao wanajihusisha na vitendo vya kishoga na mapenzi ya jinsia moja (homosexuality) nchini Marekani waweze kutoka kimuziki. Warren G amedhibitisha kuwa yeye mwanyewe kuwa ana binamu yake ambaye anajihusisha na vitendo hivyo vya kishoga, lakini hawezi kupinga uamuzi wa ndugu yake huyo, anasema "siwezi kumchukia mtu yoyote mwenye kujihusisha na tabia hii ya kishoga kama mtu ni shoga ni shoga tu" Warren G amesema kwamba kabla hajaanza kutoa support yake kwa mashoga ambao ni rappers tayari amedhibitisha kuwepo kwa rappers ambao wapo katika muziki tayari na wenye majina makubwa na wengine wanaohitaji kutoka kimuziki. “I don’t have no ha