MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 YATANGAZWA


ILANI:

Link moja isipofunguka, jaribu nyingine, rudia tena na tena. Refresh page.
Matokeo yote yapo kwenye tovuti ya NECTA (www.necta.go.tz).

Leo, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa (Mb) ametangaza rasmi matokeo ya Mitihani ya Kitaifa ya ya Kidato cha Nne, Maarifa na QT.

Waziri amesema jumla ya watahiniwa waliofaulu ni  23,520 hali waliofeli ni 24,903.

Shule bora kwa ufaulu zimetajwa kuwa  ni pamoja na St. Francis Girls ya Mbeya, Marian Boys ya Bagamoyo, Feza Boys ya Dar es Salaam, Marian Girls ya Bagamoyo na Simini. Nyingine ni Kanosa, St. Jude na St. Mary.


Source: http://www.wavuti.com

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA