MBUNGE WA JIMBO LA MUSOMA MJINI ATEMBELEA WAGONJWA NA KUTOA VITABU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARY KATIKA JIMBO HILO
Mbunge wa jimbo la Musoma mjini Vincent Nyerere ametembelea wagonjwa katika Hospital ya Mkoa wa Mara ambapo baadhi yao walitekwa na kukatwa mapanga juzi. Mheshimiwa Nyerere akimjulia hali mgonjwa katika hospital ya mkoa wa Mara ambaye ni mmoja ya wahanga ambao walitekwa na majambazi kisha kunyang'anywa fedha na mali zao Mheshimiwa Nyerere akimjulia hali mgonjwa katika hospital ya mkoa wa Mara leo,mzee huyu ana umri wa miaka 67 lakini cha ajabu ameshindwa kupata huduma stahiki kwa kile kinachosemekana hana fedha lakini wadau sera ya wazee inasemeaje? kilio chake kimefika kwa mheshimiwa Nyerere Mheshimiwa Nyerere akimjulia hali mgonjwa katika hospital ya mkoa wa Mara leo,huyu aliwahi kuwa katibu wa mbunge wa jimbo la Musoma vijijini na katika maelezo yake anasema kuwa majambazi waliomvamia kwake walikuwa zaidi ya nane na walipofanikiwa kuingia walimkata panga kama uonavyo picha hiyo na kisha kuchukua redio na fedha kiasi cha laki nane lakini baadaye redio zilipatika