Posts

MAKALA MAALUM KUTOKA KWA MDAU KUHUSU MIFUKO YA JAMII

IMEANDALIWA NA Davis Muzahula , Mwanafunzi wa shahada ya kwanza ya sheria (mwaka wa nne), Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Augustino cha Tanzania Simu: +255756829416 Barua pepe: davismuzahula@yahoo.com UTANGULIZI Kwa mujibu wa Shirika la Kazi Duniani, Mfuko wa hifadhi ya jamii ni mfumo ambao jamii husika imejiwekea kwa lengo la kuwakinga watumishi wa umma au binafsi ( waajiriwa ) dhidi ya matukio yasiyotarajiwa ( Contingencies ). Matukio hayo ni kama maradhi, ulemavu, kupoteza kazi, kuacha kazi kwa sababu ya uzee ( kustaafu ) aidha kwa hiari au kwa lazima, na mengineyo ikiwamo huduma za matibabu, ghalama za msiba ikiwa mteja atafariki au kufiwa na mtu ambaye mfuko husika huchangia. Vile vile iwapo mteja atafariki kabla ya kustaafu basi mafao yake hulipwa kwa warithi wake ambavyo huweza kusaidia kusomesha watoto wa mhusika.   Hifadhi kutoka kwa jamii ni haki ya kila mtu kama ilivyotajwa na katiba ya jamhuri ya Muungao wa Tanzania, 1977 (kama ilivyofanyiw

TAARIFA RASMI KUTOKA KWA RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI SAUTSO

KUTOKA KWA RAIS WA SAUTSO MH.MALISA GODLISTEN   Kwa takribani wiki mbili sasa imekuwepo hali ya sintofahamu kuhusiana na fedha za Field na baadhi ya watu wameanza kupika taarifa za uongo na uzushi ili kupotosha kwa makusudi. Ukweli ni kuwa sisi kama serikali tumejitahidi kwa kadri ya uwezo wetu kuhakikisha fedha hizo zinapatikana kwa wakati. Tar 3 hadi 5 mwezi huu nilikuwa Bodi kufuatilia fedha hizo. Ikumbukwe ilikuwa ni siku moja tu baada ya kumaliza mitihani. Nilifanya hivyo ili kuepusha usumbufu ambao ungeweza kujitokeza baadae. Lakini Bodi hawakuwa na hela hivyo wakahidi kutupatia fedha hizo mara tu watakapopokea kutoka Hazina. Tukaendelea kuwasiliana na Bodi ambao waliendelea kudai hawana fedha. Kufikia tar.19/07/2012 nikiongozana na waziri wa mikopo tukalazimika kwenda Bodi kwa dharura. Lakini hata baada ya kufika bodi jibu lilikuwa ni lilelile kuwa hawana fedha. Lakini mbaya zaidi hatukuwemo kwenye list ya vyuo vilivyopaswa kulipwa mwezi huu. So kwa

WALIMU WASHINIKIZA KUGOMA MKOANI MARA HAPO KESHO

Shomari Binda, Musoma Chama cha walimu (CWT) Mkoa wa Mara kimewasihii walimu kutohadaika na kauli ya Serikali ya lkuwataka kutokugoma kwani haki zao bila kuchua hatua hutua hiyo hazitatimizwa kwa wakati. CWT imesema upatikanaji wa maslahi bora ya kazi yatapatikana kwa kushirikiana katika mgomo utakaoanza kesho ili Serikali ione umuhimu wa madai yao ambayo wamekuwa wakiyadai kwa muda mrefu sasa bila kupatiwa ufumbuzi. Katibu wa CWT Mkoa wa Mara Fatuma Bakari amesema walimu wasiwe waoga kutetea haki zao kwani mgomo huo huko kisheria na kinachofanywa na Serikali ni vitisho kwao ambavyo amesema havina msingi. Bakari amewakumbusha walimu kuwa madai yao ya maslahi bora ni ya muda mrefu huku akihituhumu Serikali kuendelea kuyapuuzia na kuwafanya kuishi maisha duni na kifukara licha ya kufanya kazi kubwa nayakujituma. Uchunguzi uliofanywa na BINDA NEWS Mjini Musoma umeonyesha kuwa mgomo huo hupo kesho na walimu wengi wamenukuliwa wakisema wako tayar

JITAHADHARISHE NA VOCHA ZILIZOTUMIKA

Image
Kuna njia mpya unatumika na vibaka na wezi wa magari kutoweka kwenye mkono wa sheria kutokana na uhalifu wao. Wanakusanya vocha zilizotuma pindi wanapotelekeza gari au kutupa miili ya watu waliokufa na kuacha vocha hizo zilizotumika kwenye tukio. Polisi wakifika eneo la tukio wanatumia namba za hizo vocha kusaka namba ya simu yamtumiaji wa hiyo vocha. Tayari watu wawili wameshikiliwa keko wameathirika na huu udanganyifu. Tafadhali hakikisha umeharibu vocha yako baada ya kutumia ili nawe usipatwe na janga hili.   Taarifu habari hii na marafiki zako source www.freebongo.blogspot.com

MAGAZETI YA LEO JULY 29

Image
. . . . . . . . . . . . . . . .

KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MAMA YANGU GODRIVER POTI

Image
LEO ni miaka mitatu imepita tangu mama yangu mzazi GODRIVER POTI alipotutoka duniani,kiukweli hii ni siku ambayo huwa siwezi kuisahau maishani mwangu,kwani nilimpoteza mtu aliyekuwa muhimu sana tena sana nadiriki kusema hivyo kwa kuwa ndiye aliyekuwa msatali wambele kuhakikisha watoto wake tunapata elimu bora,tunajengeka kimaadili kwa kuturekebisha pale tulipokuwa tukikosea lakini pia akusisita kutuonyesha njia iliyosahihi ya kufuata ili kuweza kufanikiwa kimaisha. Pumzika kwa Amani mama huko uliko siku zoteza maisha yetu hapa duniani tunakukumbuka sana  na tunaamini kuwa siku moja tutaweza onana,Watoto wako Nyanja,Erick,Masatu,Jackqueline na Felister Tunakukumbuka sana tunakosa upendo wako..mama unakumbukwa na dada zako,marafiki na jamaa kwa ujumla.           Upumzike kwa amani mama

HAPPY BIRTHDAY I MA SELF

Image
rrToday is my birthday,I would like to take this opportunity to thank God for his blessing to me,there are many people who  had many dreams to reach to this beautiful day but they have passed away,am not too curious,intelligent or whatever I can say but this is because of the God love upon me!!!!!! Thanks to ma family, all my best fiends always are the good adviser to what am doing and are the one who shape me to me in this way I am,also to my fellow colleague at st.Augustine University as well as to all CRDB staff at Musoma Branch where am doing field attachment during this period of vacation. HapPy BiRtHdAY NyaNJa