Posts

LEO NI KUMBUKUMBU YA MIAKA 17 YA KUZAMA MV.BUKOBA

Image
Mei 21,1996 katika ziwa Victoria,Mwanza Tanzania meli ya Mv Bukoba ilipata ajali na zaidi ya watu 800 kupoteza maisha yao.Meli ilizama kilomita 30 kukaribia kutua nanga kwenye bandari ya mwanza ikitokea Bukoba. Meli ikuwa na uwezo wa kubeba idadi ya watu 430. Kwenye first and second class orodha ya abiria ilikuwa 443 na kwenye third class hakukuwepo rekodi yoyote .Takribani 1000 walifariki kwenye ajali hiyo MUNGU AZIWEKE ROHO ZA MAREHEMU WOTE MAHALA PEMA PEPONI,NA PIA MUNGU AWAPE NGUVU WOTE AMBAO WALIPOTEZA NDUGU ZAO KATIKA AJALI HIYO. ASANTE KWA MDAU  Petter Isuti Mioyo   KWA KUTUKUMBUSHA KUPITIA ACCOUNT YAKE YA FACEBOOK

NAOMBA DUA ZENU WADAU WOTE

Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunibariki kila kunapokucha na kuweza kunipa nguvu za kusimama na kufikiri vyema, ndugu zangu sasa wakati unakaribia kabisa wa kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu nayosomea shahada ya mahusiano ya Umma na Masoko. Zimebaki takribani wiki 8 ambayo ni sawa na miezi 2 hivi kuhitimu elimu hii,jambo lililopo mbele yangu ni hapo kesho katika kutetea utafiti nilioufanya (Research defense) mbele ya jopo la wahadhili, si jambo ndogo waweza kuwa na confidence ya kutosha lakini linapofika swala la Maswali kila mhadhili huwa anauliza kwa jinsi anavyojisikia yeye na pengine hata kukuuliza kitu kisichohusiana na research pia,hivyo nawaomba ndugu zangu basi twendelee kushirikiana katika maombi na kuniombea kwa baba mwenyezi Muumba wa mbingu na dunia niweze kudefend vizuri. SALA ZENU NI MUHIMU SANA KUFANIKISHA SWALA HILI.

YANGA YASHEREHEKEA UBINGWA KWA KUMNYOA MTANI WAKE

Image
Nahodha wa Yanga, Nidir Haroub   'Canavaro' akiwa amenyanyua kombe la Ubingwa wa  Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara pamoja na wachezaji wenzake. Beki wa Simba, Musa Mudde (kushoto) akichuana na mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo. Kikosi cha Simba. Makocha wa yanga wakipanga mikakati ya Ushindi. Timu zikiingia uwanjani. Beki wa Simba, Shomari Kapombe akimtoka mshambuliji wa Yanga, Simon Msuva Msanii Juma Nature akitumbuiza wakati wa mchezo huo. Mashabiki wa Yanga . Raha ya ushindi. Kocha wa Yanga, Ernst Brandts akiwa amebebwa na wachezaji wake. Mashabiki wa Yanga. Kipa wa Simba, Juma Kaseja akijaribu bila mafanikio kuokoa mpira wa kichwa  uliopigwa na mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu katika mchezo wa kufunga  pazia la Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofan

WALE WAPENZI WA MOVIE HIZI ZINAKUHUSU MWAKA HUU

Image
GI JOE 2 Retaliation Trailer 2 - 2013 Movie  The Wolverine Trailer 2013 Official - Hugh Jackman Movie [HD]  After Earth Trailer #2 2013 Will Smith Movie - Official [HD] Gallowwalkers Official Trailer #1 (2013) - Wesley Snipes Zombie Movie HD  Reincarnated Official Trailer #1 (2013) - Snoop Lion Documentary HD  The Frankenstein Theory Official Trailer #1 (2013) - Timothy V. Murphy Thrille

KILIO KUANGUKIA JANGWANI AU MSIMBAZI?

Image
Leo ndio leo uwanja wa Taifa wakati miamba miwili ya soka nchini, Yanga na Simba watakapoufunga rasmi msimu wa ligi kuu Tanzania Bara. Yanga ambao tayari wametawazwa kuwa mabingwa wataingia uwanjani huku wakiwa tayari wanajiandaa kwa sherehe rasmi za kukabidhiwa kombe wakati watani wao wa jadi Simba waliovuliwa ubingwa huo watakuwa wakitaka kulinda heshima yao. Katika mchezo uliozikutanisha timu hizi mbili katika mchezo wa kufunga pazia la ligi kuu, Simba ambao walikuwa tayari wametangaza ubingwa walitoa kipigo kikali cha 5-0. Je unadhani Yanga watalipiza kisasi? Msiba leo utakuwa wapi, Jangwani au Msimbazi

KATUNI YA LEO INAUKWELI NDANI YAKE?

Image

BUJORA MAKUMBUSHO YA WATU KABILA LA WASUKUMA SASA YATIMIZA MIAKA 100

Image
picha kwa hisani ya gsengo.blogspot.com Hili ni eno ambalo akina mama wa kisukuma walikuwa wakilitumia kama nyenzo ya kusagia nafaka ili kupata unga au kukobolea nafaka, eneo hili limehifadhiwa yapata miaka 100 sasa. Ufugaji wa kale kwa himaya za watemi. Ngoma za asili zilizotumiwa na wanasanaa wa kabila la Wasukuma katika koo mbalimbali ngoma hizi zimehifadhiwa yapata miaka 100 sasa.