Posts

MUHIMU: USICHOTAKIWA KUFANYA WAKATI UNAANZISHA UHUSIANO NA MPENZI MPYA KAMA UNATAKA AKUPENDE/AKUKUBALI NA MUWE ‘SERIOUS’

Kwa kawaida (Mwanaume) unapohitaji kuanza uhusiano na msichana unaempenda sana, kiu na njaa ya kuwa naye huwa iko kati ka kiwango kisichopimika. Hasa unapokuwa unaanza kuwasiliana nae na ukafanikiwa kumsogeza karibu na kumuonesha kwa vitendo kuwa unampenda na ukaanza kuona anawasha ‘Taa ya Kijani’. Hata hivyo, mwanzo huu unaweza kuwa mbaya kwako endapo hautazingatia kanuni moja muhimu sana kati ya kanuni nyingi za kuendeleza na kudumisha mapenzi yaliyochipua yanayohitaji mbolea na maji safi kutoka kwako ili yakue au yapotee endapo hautajua jinsi ya kuyarutubisha. Ingawa ukweli ni kuwa muonekano wake na mvuto alionao unaweza kuwa ndio chanzo kikubwa kilichokusukuma kumfuata na kuanzisha maongezi kwa mara ya kwanza, ni muhimu sana kutomuonesha dalili zozote kuwa ‘tendo la ndoa’ ndio hitaji lako la kwanza/ulilolipa kipaumbele. Kama sio mpitaji kwake, na unataka uhusiano wenu uwe ‘Serious’, usikurupuke kuanza kumuomba kukutana nae katika sehemu ambazo zinatoa picha ya w

TATIZO KUCHELEWA KUFIKA KILELENI/KUTOA MANII KWA MWANAUME, FAHAMU CHANZO NA MATIBABU (IMPAIRED EJACULATION IN MALE)

like ukurasa wa victoria therapies kupitia facebook ht tps://www.facebook.com/Victoriatherapies?fref=ts na kupata elimu ya mahusiano na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwa tiba mbadala ***************************************************** Ni ile hali ya ambapo mwanaume anachukua mda mrefu kufika kileleni/kutoa manii wakati wa kushir iki tendo la ndoa,hili tatizo linaweza likawa la mda mfupi kwa maana ya mwanaume kwa siku za awali hakuwa na hili tatizo au tangu abarehe anaweza akawa na hilo tatizo. Kwakawaida mwanaume anatakiwa afike kileleni/kutoa manii kwa muda usiozidi dakika 30 wakati wa kushiriki tendo la ndoa,kwahiyo mwanaume anapo shiriki tendo la ndoa na kuchukua mda mrefu bila kufika kileleeni anahitaji uchunguzi ili kubaini chanzo cha tatizo CHANZO CHA TATIZO • Maambukizi kwenye tezi dume(prostate infection)yanaweza kuathiri utendaji kazi wa mishipa ya fahamu(nerve)inayosaidia usimamaji wa uume na utokaji wa manii, hivyo na ku

KUWENI MAKINI NA WIZI HUU MPYA WA MTANDAO

Ni mara ya pili sasa napokea Email kutoka kwa matapeli hawa, mara ya kwanza ilinibidi niifoward email hii  kwenye benki nayotumia kwa kuwa nimeunganishwa na huduma hii ya internet banking lakini nilijibiwa kwamba huo ni wizi hawana taarifa yoyote kutoka benki kuu, sasa leo hii nimepata tena email yao. Tafadhari chukua hatua. Bank Of Tanzania This is a security update notice for all Banks Customers to update there internet login access for auditing purpose. Failure to do this might result in blocking of your online access; Kindly click to continue:  Banking Service We apologize for the inconveniences this may cause Thanks Banking Operations Email address wanayotumia ni <tgb.purchaseorder@gmail.com>

5 Best and 10 Worst Airports in Africa 2014 (also Asia, America, Europe)

Image
While Africa is rarely renowned for its innovative or comfortable airports, a few gems do exist among a slew of mediocre transit hubs. They may pale in comparison to some of the airport finalists in other regions, but these locations do offer elements of each of the four Cs (comfort, conveniences, cleanliness and customer service) to those who travel through. And heck – while they may not blow your mind, the cities that are making an effort to improve air travel certainly deserve some positive recognition! Here are the Top 5 Best Airports in Africa based on overall airport experience as determined by voters in our 2014 Airport Survey:   Johannesburg O.R. Tambo International Airport, South Africa (JNB) Cape Town International Airport, South Africa (CPT) Durban King Shaka International Airport, South Africa (DUR) Algiers Houari Boumediene International Airport, Algeria (ALG) Addis Ababa-Bole International Airport, Ethiopia (ADD) Worst Airports in

JE, WAJUA?? MSONGO WA MAWAZO HUONGOZA KWA KUSABISHA MAGONJWA? FAHAMU MAMBO MATANO MAKUBWA YANAYOSABABISHA MSONGO WA MAWAZO NA JINSI YA KUDHIBITI

JIUNGE KWENYE UKURASA WA FACEBOOK WA VICTORIA THERAPIES  KUPATA MAKALA MBALIMBALI  NA KUPATA HUDUMA ZA AFYA KWA TIBA MBADALA KAMA MATATIZO YA UZAZI KWA KINA BABA NA MAMA, VIDONDA VYA TUMBO, MSONGO WA MAWAZO,KUWAHI KUFIKA KILELENI KWA KINA BABA, SUKARI, PRESHA N.K Tafiti mbalimbali za kitaalam zinaonesha kuwa mambo makuu matatu yanayosababisha watu kuugua n i haya yafuatayo: 1. Msongo wa Mawazo 2. Ulaji mbovu wa vyakula – Kutokula vyakula vyenye virutubisho asilia, mpangilio mbovu wa ulaji na uchaguzi mbovu wa mjumuiko wa vyakula (Kutokula mlo kamili). 3. Mazingira (Ajali, hali ya hewa, bakteria/virusi mbalimbali Hata hivyo, Msongo wa mawazo umetajwa kuwa sababu kubwa zaidi inayoongoza kuwafanya watu wengi kupata maradhi mbalimbali. Huku mipango yao pia ikiharibika kwakuwa akili huwa haiko katika nafasi nzuri ya kufanya maamuzi bora zaidi wakati mtu akiwa na tatizo la Msogo wa Mawazo. Haya ni mambo matano ambayo husababisha tatizo la MSONGO WA MAWAZO na endapo utaw

Makala ya wasifu wa Dk Slaa: Muadilifu, Mchapa kazi, Mwenye nakisi ya hekima, weledi

Image
Wilbrod Slaa Dk. Wilbrod Peter Slaa ni mwanasiasa pekee wa upinzani aliyedumu na mvuto wa kisiasa kwa muda mrefu zaidi kuliko mwanasiasa mwingine yeyote wa upinzani nchini Tanzania. Katika siku za hivi karibuni ametajwa kuwa ndiye mgombea wa urais kinara wa kambi ya upinzani kupitia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Katika makala haya tunajadili wasifu wa mwanasiasa huyu katika maeneo ya uadilifu, uchapa kazi, hekima na weledi. Dk. Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 katika Kijiji cha Kwermusl, Wilayani Mbulu. Alisoma Shule ya Msingi Kwermusl mwaka 1958-1961 na Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu 1962-1965. Baada ya kufaulu mtihani wa Darasa la Nne, Dk. Slaa hakuendelea na masomo katika shule za serikali bali alijiunga na Seminari ya Dung’unyi Mkoani Singida mwaka 1966-1969 kwa masomo ya sekondari. Alifaulu mtihani wa Kidato cha Nne vizuri na kuchaguliwa kujiunga na Kidato cha tano katika Seminari ya Itaga Mkoani Tabora alikosoma kati ya mwaka 19

MAMA WEMA AFANYA SHEREHE BAADA YA WEMA SEPETU KUMMWAGA DIAMOND

Image
Kwa mujibu wa chanzo makini, kutokana na mama huyo… CHEREKO chereko! Siku chache baada ya supastaa ‘grade one’ wa sinema za Bongo, Wema Sepetu ‘madam’ kummwaga King of Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, mama mzazi wa mwigizaji huyo, Mariam Sepetu ameangusha sherehe ya nguvu kama ishara ya kuonesha ‘amekunwa’ na tukio hilo, Ijumaa Wikienda linashuka nayo mstari kwa mstari. Supastaa ‘grade one’ wa sinema za Bongo, Wema Sepetu ‘madam’ akipozi. TUJIUNGE NA CHANZO Kwa mujibu wa chanzo makini, kutokana na mama huyo kutobariki uchumba wa mwanaye na Diamond ambaye pia anajulikana kwa jina la Dangote kwa muda mrefu, habari za uchumba huo kuvunjika zilipochapishwa kwenye Gazeti la Ijumaa ‘Kubwa’ toleo lililopita, moyo wake ulijawa na furaha. “Mama Wema alichukizwa kwa kiasi kikubwa na mapenzi ya wawili hao kutokana na kile alichoamini kuwa, Diamond hakuwa na mapenzi ya dhati kwa mwanaye zaidi ya kutegemea nyota yake impe mafanikio ndiyo ma

PICHA; TASWIRA ZA VURUGU ZILIZOHARIBU MDAHALO WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA

Image
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba alipokuwa akitoa mada kwenye mdahalo wa kujadili umuhimu wa kuielewa kwa kina Katiba inayopendekezwa kama ilivyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba kabla ya vurugu kutokea. Baadhi ya vijana walioingia na… Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba alipokuwa akitoa mada kwenye mdahalo wa kujadili umuhimu wa kuielewa kwa kina Katiba inayopendekezwa kama ilivyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba kabla ya vurugu kutokea. Baadhi ya vijana walioingia na mabango na kuvuruga mdahalo huo wakidhibitiwa. Vurugu zikishika kasi ndani ya Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar. Jaji Warioba akitolewa nje ya Ukumbi wa Ubungo Plaza mara baada ya vurugu kutokea. Jaji Warioba akiwa nje ya ukumbi huo chini ya ulinzi mk

Job opportunities at TFDA

The Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) , an Executive Agency under the Ministry of Health and Social Welfare which is responsible for the control of quality and safety of food, medicines, cosmetics and medical devices for the purpose of protecting public health, seeks to recruit intelligent, competent, open-minded, result oriented with high integrity Tanzanians to fill attractive vacancies. Click here to download the file with details.

MSAMARIA AJITOKEZA KUWASAIDIA WATOTO HAWA

Image
Hii picha imekuwa ikisambaa sana kwenye mitandao ninaomba kama kuna mtu anafahamu uwezekano wa kupatikana kwa watoto hawa kwenye hii picha. Msamaria mwenye nia ya kuwasaidia ameomba jina lake lisitajwe bali anaomba yoyote anayefahamu jinsi ya kuwapata hao watoto atume email kwa imblessd22@gmail.com

FUMANIZI LA MWALIMU NI VISU, UTUMBO NJE NJE

Image
Stori: Dustan Shekidele, Morogoro     KATIKA hali ya kutisha, fumanizi lililoambatana na bonge moja la mtiti linadaiwa kujiri nyumbani kwa mwalimu ‘ticha’ wa Shule ya Msingi ya Mafisa ‘A’, iliyopo Manispaa ya Morogoro mjini hapa aliyefahamika kwa jina la Rosemary Mkoba kisha watu wakachomana visu. Mume wa mtu, Raphael Bernard (33) aliyechomana visu na mwalimu baada ya fumanizi. HABARI KAMILI Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, msala huo ulijiri juzikati nyumbani kwa ticha huyo, Kichangani ambapo mwalimu huyo alidaiwa kufumwa na mume wa mtu, Raphael Bernard (33) ambaye ni dereva wa bodaboda. ILIKUWAJE? Habari zilidai kwamba mwenye mume amekuwa akimfuatilia mumewe kwa muda mrefu, akagundua huwa anakwenda kujichimbia kwa ticha huyo huku akiacha familia ikilala njaa. Ilisemekana kuwa, siku ya tukio, mwenye mume, akiwa na ‘jeshi’ lake, alimfuatilia mumewe hadi akamuona akiingia nyumbani kwa hawara wake huyo. APEWA MUDA AVUTE PUMZI Ikazidi kudaiwa kwamba

Utaratibu mpya na gharama za maegesho Mlimani City

Image