DIAMOND PLATNUMZ ABEBA TUZO TATU KATI YA NNE ZA CHOAMVA14 HUKO AFRIKA KUSINI
Diamond Platnumz ameiwakilisha vema nchi ya Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla katika tuzo za CHOAMVA 14 zinazoandaliwa na kituo kikubwa cha runinga cha Channel O kilichopo nchini Afrika kusini. Diamond ameweza kuondoka na tuzo tatu usiku huu kati ya nne alizokuwa akiwania, tuzo alizoshinda ni Most gifted East African, Most gifted new comer na Most gifted Afro Pop. Tuzo ambayo ameikosa imenda kwa mwanamuziki Doc Shebeleza inayojulikana kama Most gifted video of the year. Katika tuzo hizi Diamond ameongozana na mama yake mzazi Bi sandra, pamoja na Management yake akiwepo babu Tale na Mkubwa Fela, lakini kilichokuwa cha kuvutia Zaidi na kutawala mazungumzo mengi katika mitandao ya kijamii ni baada ya kumuona mwana dada zaritheboss kutoka Uganda akiwa ameambatana naye na kupiga baadhi ya picha huku Zari akiwa na mama Diamond kwenye gari la kifahari, watu wamezidi kujiuliza maswali je ndo ile project aliyoisema kwenye vyombo vya habari bado inaendelea? Kwani k