Posts

KIWANDA CHAFUNGIWA KWA KUTENGENEZA JUISI ZISIZOFAA

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limekifunga kwa muda usiojulikana kiwanda cha U-Fresh Food Limited cha Tegeta, Dar es Salaam, kwa kuzalisha juisi ya U-Fresh chini ya kwa kiwango cha ubora unaotakiwa. Aidha, limewaonya wahusika wa kiwanda hicho, ambao ni watu wenye asili ya China, kutothubutu kuendeleza uzalishaji wa juisi hiyo kinyemela baada ya kuzuiwa juzi, kwa sababu watakuwa wametenda kosa jingine linaloweza kusababisha wasiruhusiwe kufanya biashara ya aina hiyo kwa kukosa uaminifu. Ofisa Viwango Mwandamizi wa TBS, Selemani Banza alisema uzalishaji wa juisi hizo unafanywa katika mazingira machafu kwa kutumia sukari tamu yenye madhara kwa watoto, hivyo haustahili kuachwa uendelee. Kwa mujibu wa Banza, hadi kufikia uamuzi wa kukifunga kiwanda hicho, shirika hilo lilifuata taratibu zote za kujiridhisha kuwa kinastahili kufungwa, ikiwemo kupima sampuli za juisi hizo kutoka sokoni na kiwandani kwenye, bila wahusika kujua kama zilikuwa zikifanyiwa uchunguzi, hivyo kubaini kwama zil

WANASAYANSI WAKO KAZINI KUTAFITI WANAUME KUWEZA KUNYONYESHA WATOTO

Image
Dunia na maajabu yake kwenye siku nyingine, leo kuna tafiti inayosema kuwa eti wanasayansi wanasema kwa kuangalia vigezo vya kibaiolojia wanaume wanaweza kunyonyesha hivyo huenda muda mfupi ujao jukumu hilo lisiwe la wanawake peke yao. Dr.  Semkuya  kutoka Hospitali ya Mwananyamala amesema mwanaume anaweza kutoa maziwa lakini sio maziwa yafaayo kwa lishe ya mtoto. “ … Wapo wanaume wanaochezea chuchu kwa muda mrefu na kufanya hivi wanaweza kusababisha maziwa kutoka… ” — Dk. Semkuya Daktari mwingine mstaafu anasema hivi;  “ Wanaume wana tezi zao na wanawake wana tezi za kipekee ambazo zinawasaidia kuzalisha maziwa… ”—  Dk. Malise Kaisi. Daktari mwingine bingwa wa magonjwa ya binadamu  Meshack Shimwela  amesema mwanaume anaweza kutoa majimaji katika chuchu zake lakini hayo sio maziwa. Iliwahi kuripotiwa kuwa mwaka 2002 kulikuwa na mwanaume aliyeamua kumnyonyesha mwanae baada ya kufiwa na mke wake  Sri Lanka , lakini story ni kwamba Jarida la Lancet  limeeleza kuwa mwanaume

VIDEO: MASHABIKI WAPONDA JINA LA WIMBO MPYA WA D'BANJ "FEELING THE NIGGA"

Image
Hii video mpya ya msanii wa Good Music D’ Banj iliyopewa jina ‘Feeling the Nigga’. Ni jina la wimbo lililoshangaza wengi kwani sio kawaida kwa msanii wa Africa kutumia neno Nigga kwenye wimbo wake. Wasani kutoka Africa hutumia neno hilo mara chache kwenye nyimbo zao ila sio kwenye jina la nyimbo kama alivyofanya D’ banj . Je ndio umagaribi umemshika ? bonyeza play kuitazama.

ESCROW BADO MOTO UNAWAKA

Image
Na Mwandishi Wetu WAKATI  Rais Jakaya Kikwete akiwa amemuwajibisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka kufuatia kumegewa mgawo wa fedha za Tegeta Escrow, binti anayedaiwa kuwa mwanaye, amejikuta akipata wakati mgumu baada ya kumtetea mama yake kupitia mitandao ya kijamii. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka. Katika Mtandao wa Twitter, binti huyo aliyejitambulisha kwa jina la Kagem Tibaijuka, alimtetea mama yake akisema fedha zilizowekwa kwenye akaunti yake zilikuwa ni safi na halali na kwamba ziliwekwa kwa nia njema ya kuwasaidia kielimu watoto wa kike. “My mum did nothing wrong except wanting to help young girls get an education. A school built with my late father. Accepted a donation,” (Mama yangu hakufanya kosa lolote isipokuwa alitaka kuwasaidia wasichana kupata elimu. Shule ilijengwa na marehemu baba yangu. Mchango ukakubaliwa)yalikuwa  ni moja ya maneno yake katika mtandao huo wa Twitter. Aidha, aliwashambulia wanawak

MASWALI 10 KWA ZITTO KABWE

Image
Zitto Kabwe 1. Vumi Mbiligo, mkazi wa Msimba Vijana wengi wamekuwa wakijishughulisha na kazi mbalimbali za kujiajiri kama vile kilimo, kuchimba mawe na mchanga, uvuvi na nyinginezo. Vijana wa Msimba walioamua kujiajiri kwa kufyatua matofali wanatozwa ushuru eti tofali ni madini. Unasemaje katika hilo na msaada wako ni nini kwa vijana? Jibu: Ushuru wa madini hutozwa kuanzia kwenye mchanga. Ni kweli kuwa tofali ni sehemu ya madini. Lakini kwa kuwa hii ni ajira kwa vijana wetu tumeanza mchakato wa kufuta ushuru wa namna hii kwa vijana wanaojiajiri ili kuwawezesha zaidi kiuchumi. 2. Mariamu Saidi, mkazi wa Kazegunga Halmashauri ya wilaya imekuwa na tabia ya kutoa fedha kwa vikundi vya kina mama vyenye mwelekeo wa kushabikia CCM. Unawasaidiaje wengine ambao hawana itikadi zozote za kisiasa? Jibu: Hili katika halmashauri yetu halipo tangu nimekuwa mbunge. Tumesaidia vikundi vingi bila kujali itikadi zao. Mfano mzuri ni kina mama wa Mwandiga ambao tumewapa mtaji wa kuuza unga na hivi

MAGAZETI YA LEO ALHAMIS, DECEMBER 25 YAPO HAPA

Image
. . . Ads by videosMediaPlayers ++ Ad Options Ads by videosMediaPlayers ++ Ad Options . . . Ads by videosMediaPlayers ++ Ad Options Ads by videosMediaPlayers ++ Ad Options . . . s . . . . . . . . . . . . . . . . . .

MVUA ZAKWAMISHA MAANDALIZI YA SIKUKUU YA XMAS JIJINI MWANZA

Image
Mvua kubwa ikinyesha katika mitaa ya Jiji la Mwanza leo. Mvua ikiendelea kunyesha katika mitaa ya Jiji la Mwanza. MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali jijini Mwanza zimekwamisha maandalizi ya Sikukuu ya Krismasi kwa wakazi wa jiji hilo. Mitaa mbalimbali ambayo hufurika watu kwa ajili ya kufanya manunuzi katika misimu hii ya sikukuu zimeonekana kuwa wazi kutokana na mvua hizo zinazoendelea kunyesha. (PICHA ZOTE NA JOHNSON JAMES / GPL, MWANZA)

TIZAMA TRAILER YA MOVIE YA KIMAREKANI ILIYOTENGENEZWA BONGO

Image
. Good news ambayo nataka kukuambia ni kwamba ile movie ya kimarekani iliyotengenezwa Dar es Salaam maarufu kama Going Bongo sasa inapatikana Tanzania. Going Bongo  ni filamu ya kimarekani iliyofanyika Dar es Salaam inayomuhusu  (Dr Lewis Burger)  wa kimarekani katika nafasi yake imechezwa na  Ernest Napolen  ambaye alikuja Dar kushoot baadhi ya scene ya filamu hiyo mpya. Kupitia instagram staa huyo aliwahabarisha followers wake kuwa imetoka na inapatikana kwenye maduka haya   Shrijee supermarket-Oysterbay,City center and Slipway, Born to shine -mwenge, Fifi suga designs – Sinza Hii ndio trailer ya filamu hiyo mpya Going Bongo iliyoshutiwa Dar es Salaam,Carlifonia na Los Angeles itazame hapa