Posts

Mchakato wa uandikishaji wa wanachama “Tanzania Bloggers Network” ( TBN ) waanza rasmi

Image
  Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini ‘Tanzania Bloggers Network’ – TBN kinapenda kuwajulisha wanaotaka kujiunga na chama hicho kuwa fomu za kujiunga zinatolewa. Wahusika ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi. Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka kujiunga fomu hizo zinapatikana kwenye Ofisi za Muda za Tanzania Bloggers Network (TBN) kwenye Jengo la Dar Free Market lililopo mkabala na Barabara ya Ally Hassan Mwinyi. Mwanachama muitaji wa kujiunga kabla ya fomu atatakiwa kutoa shs 25,000/- ikiwa ni Kiingilio cha mwanachama, shs 15,000/- yakiwa ni malipo ya ada ya miezi mitatu kwa mwanachama na shs 10,000/- ikiwa ni malipo ya kadi ya TBN kwa mwanachama (utambulisho). Jumla kuu kila mwanachama anatakiwa kulipa shs 50,000/- na kupewa risiti hal

ANGALIA:: TRAILER YA FILAMU MPYA YA PISHU – KAJALA ENTERTAINMENT PRESENTS, KUWA MADUKANI KUANZIA TAREHE 1.05.2015 SI YA KUKOSA

Image

BREAKING NEWS: NDANI YA SEKUNDE 60 TICKET ZA PAMBANO LA MAYWEATHER V/S PACQUIAO ZA DOLA 7,500 ZAUZWA ZOTE

Image
Mayweather vs. Pacquiao Tickets Sell Out in 60 Seconds And just like that ... THEY WERE GONE!!!! Less than 60 seconds after tickets to the  Mayweather vs. Pacquiao  fight went on sale to the public on Ticketmaster's website, they were sold out!! ALL OF THEM. EVEN THE $7,500 TIX!!! Several people in our office timed the sale, and some say they got the "No Tickets Left" graphic less than 20 SECONDS after it started. Insane!  So, if you wanna be at the fight, you have to go to the secondary market ... where seats are going for up to  $80,000-a-pop !!! Good luck!  Read more:  http://www.tmz.com/2015/04/23/mayweather-vs-pacquiao-tickets-sold-out-60-seconds/#ixzz3YACho6ww

MAGAZETI YA LEO APRIL 23

Image

Job opportunity at Geita Gold Mining for a Social and Economic Development Superintendent

Image

Breaking News: Watu 10 wafariki dunia katika ajali ya basi Shinyanga na 51 wajeruhiwa

Image
  Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga kamishina msaidizi, Justus Kamugisha. Na Andrew Chale wa Modewji blog Habari zilizotufikia hivi punde katika chumba cha Modewji blog ni kuwa bado jeshi la Polisi na wasamaria wema wanaendelea kuokoa majeruhi na maiti wa ajali ya gari iliyotokea muda wa masaa mawili yaliyopita kwa kuuhusisha basi la Unique namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora kugongana na lori katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye Shinyanga.  Akizungumza na Modewji blog, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Shinyanga, RTO Chacha Marwa alibainisha kuwa, hadi sasa ni watu 10  wamepoteza maisha huku 51, wakijeruhiwa vibaya na kuendelea kukimbizwa hospitali. “Hadi sasa ni watu 10 wamepoteza maisha. Na tunaendelea kuokoa wengine ambao 51 ni majeruhi. hivyo bado tupo hapa kwa sasa na taarifa zaidi tutaendelea kuzitoa” aliimbi Modewji  RTO Chacha. Hadi sasa majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga. Muon

Ahuzunishwa picha zake za uchumba kuhusishwa na jambazi

Image
22 Apr 2015 Hii ni moja ya picha inayomfananisha na Mwansheria Mtumishi mmoja wa umma ambaye ni Mwanasheria wa Serikali amehuzunishwa na picha za tukio lake la kumvisha pete ya uchumba, mkewe mtarajiwa kusambazwa katika mitandao ya kijamii tokea jana zikidai ndiye mmoja wa majambazi yaliyokamatwa katika tukio la kupora mtalii hapo jana jijini Dar es Salaam. Watu wamekuwa wakipotosha jamii kwa kuweka picha zisizo zake zikifananishwa naye.  Katika kipindi cha "Leo Tena" cha Clouds FM, mwanasheria huyo amekanusha kuwa jambazi aliyekamatwa na kusisitiza kuwa yeye ni raia mwema na anaendelea kulitumikia taifa kama kawaida wakati majambazi hao wanashikiliwa na jeshi la polisi. Aliyezungushiwa duara jeusi ni mtuhumiwa wa ujambazi aliyekamatwa jana (huyu ndiye anayefananishwa na mwanasheria) "Hapo jana mara baada ya tukio hilo kutokea la kuwakamata majambazi hao, nilipigiwa simu na watu mbalimbali wa karibu waliokuwa wakitaka kunieleza kusambaa

Uzinduzi wa video ya wimbo Mpya wa Lady Jaydee ft Mazet & Uhuru kufanyika M.O.G Bar & Restaurant Ijumaa hii

Image
   

MATOKEO YA MECHI ZA UEFA ZILIZOCHEZWA USIKU YAPO HAPA

Image
Klabu za Bayern Munich ya Ujerumani na Barcelona ya Hispania zimetinga nusu Fainali katika ligi ya Mabingwa barani Ulaya baada ya kushinda mechi zao hapo jana usiku. Baada ya kuchezea kichapo cha cha bao 3-1 katika mechi ya awali dhidi ya Porto Fc ugenini,hatimaye Bayern Munic waliigeuzia kibao Porto na kuirarua bila huruma bao 6-1 na hivyo kuwa na njia nyeupe ya kutinga nusu Fainali kwa ushindi huo wa jumla ya magoli 7-4. Nao Barcelona baada ya ushindi wa awali wa bao 3-1 dhidi ya Paris st Germen, mjini Paris ,hapo jana imeendeleza vipigo dhidi ya Wafaransa hao baada ya kuwakandamiza bao 2-0,zilizowekwa kimiani na Mbrazil Neymar katika kipindi cha kwanza.Kwa matokeo hayo Barcelona imefuzu nusu fainali kwa ushindi wa jumla ya magoli 5-1. Mechi nyingine za robo fainali zinakamilika hii leo , pale Juventus ya Utaliano itakaposhuka dimbani kuwakabili Monaco ua Ufaransa,huku shughuli nyingine pevu ikitarajiwa kuonekana kwenye dimba la Santiago , pale mabingwa watetezi Real Madrid

JKT YAZIDI KUIBUA MIRADI

Image
Kaimu Mkurugenzi wa habari na Mahusiano Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Kaptaini Javan Bwai akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika uzinduzi wa baadhi ya miradi ya Jeshi hilo. Kushoto ni Afisa Mteule daraja la kwanza, Injinia Fredrick Kaaya, Msemaji wa wizara ya ulinzi na usalama Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Meja Josephat Musira na wa mwisho ni Afisa wa Idara ya habari MAELEZO, Fatma Salum. Mhandisi wa miradi Jeshi la kujenga Taifa (JKT) ,Coplo Lazaro Masanja (kushoto) akitoa maelekezo kwa Msemaji wa wizara ya ulinzi na usalama Jeshi la kujenga Taifa (JKT), Meja Josephat Musira, mara baada ya uzunduzi wa baadhi ya miradi ya Jeshi hilo jijini Dar es Salaam leo. Baadhi ya wanahabari waliohudhuria katika uzinduzi wa baadhi ya majengo yaliyojengwa na Jeshi la kujenga Taifa (JKT). Msasani Tower ni moja ya majengo ambayo yamejengwa na Jeshi la kujenga Taifa (JKT). (Picha Avila Kakingo).

Natangaza ‘TOKOMEZA MBATIA VUNJO’ na ninasema nipo fiti - Mrema

Image
Mbunge wa Vunjo (TLP), Augustine Mrema akiongoza maandamano ya wakazi wa Kijiji cha Lole, Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro mara baada ya kumaliza mkutano wa hadhara ikiwa ni sghemeu ya ziara yake jimboni humo juzi. Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema ametangaza mkakati wa kuisambaratisha NCCR-Mageuzi Vunjo kwa kuzindua rasmi kampeni inayoitwa ‘TOKOMEZA MBATIA VUNJO’. Akizungumza wakati wa mkutano na wanachama wa chama hicho katika Kata ya Makuyuni Himo, kitongoji cha Kiriche, juzi, Mrema alisema operesheni hiyo ina lengo la kuhakikisha jitihada za Mbatia kulitwaa Jimbo hilo hazifanikiwi. Mrema ambaye alisema operesheni hiyo ni majibu kwa Mbatia ya kauli yake ambaye alitangaza ‘Delete TLP/ Mrema’, alisema mwanasiasa mwenzake huyo anatumia propaganda chafu dhidi yake ikiwa ni pamoja na kudai kazeeka, hafai na hana uwezo wa kuwaongoza Vunjo. “Mimi kuanza sasa natangaza ‘TOKOMEZA MBATIA VUNJO’ na ninasema nipo fiti, hafi mtu hapa na nina uwezo ninao wa kuendelea kuwaongoza Vunjo kwani ni

MORSI AHUKUMIWA MIAKA 20 GEREZANI

Image
Rais wa zamani Mohammed Morsi Rais wa zamani wa Misri Mohamed Morsi amehukumiwa kifungo cha mika 20 jela kwa kosa la kuchochea machafuko wakati wa maandamano mwezi Desemba mwaka 2012 Mohamedi Morsi alishirikishwa katika kesi hiyo pamoja na wafuasi wengine kumi na mbili wa Muslim Brothehood, ambao wamehukumiwa pia kifungo cha miaka ishirini jela. Huu ni uamzi wa kwanza dhidi ya kiongozi wa zamani wa Misri tangu alipotimuliwa madarakani na jeshi mwezi Julai mwaka 2013 Mohamed Morsi, rais wa kwanza aliyechaguliwa chini ya misingi ya kidemokrasia nchini Misri mwezi Juni mwaka 2012 kabla ya kutimuliwa madarakani na jeshi, anaweza kukata rufaa. Waendesha mashtaka wanamtuhumu Mohamed Morsi na viongozi wengine wa Muslim Brotherhood kuchochoea machafuko yaliyogharimu maisha ya mamia ya waandamanaji mwezi Desemba mwaka 2012. Hisia tofauti zimetolea nchini Misri baada ya uamzi huo wa Mahakama kutangazwa. Raia wasiomuunga mkono Mohamedi Morsi wamepokea shingo upande uamzi huo. W