MAMIA WAJITOKEZA KATIKA MAZISHI YA HILDER .N. HOLELA

JENEZA LIKIWA PEMBENI YA KABURI KABLA YA KUWEKWA NDANI

MAKABURI YA KINONDONI




WAOMBOLEZAJI WALIOJITOKEZA KATIKA MAKABURI YA KINONDONI

WAOMBOLEZAJI WALIOJITOKEZA KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
MWILI WA MAREHEMU HILDER UKIWA NDANI YA KABURI

Hilder N. Holela ambaye alikuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha Mt. Augustino akisomea Public Relations and Marketing mwaka wa pili alifariki tarehe 13 August, 2011 jijini Dar Es salaam amezikwa leo katika makaburi ya kinondoni jijini Dar Es salaam na mamia ya waombolezaji.

Wanafamilia wanatoa shukurani zao kwa Madaktari wa hospitali ya Amana,Madonna kwa moyo wao waliouonyesha wakati wa kunusuru maisha ya marehemu,pia na kwa waombolezaji wote waliojitokeza katika kukamilisha safari ya Hilder hapa duniani.
Mungu alitoa na Mungu ametwaa pumzika kwa Amani Hilder

RIP HILDER

Comments

  1. The products are formulated using high quality natural ingredients, these are full of essential macro and micro nutrients to satisfy the
    core nutritional and weight loss requirements of most individuals.
    Meanwhile, while the metabolism is trying to find out precisely what the
    heck what you are doing, it will be raised for
    the MAXIMUM peak causing you to lose LBS. Simply jumping in a dietary
    style that is not properly suited for your preferences or desires can be very stressful and is also greatly prone to create additional problems down the road.

    ReplyDelete
  2. A lemonade fast could possibly be an appealing and effective
    way to start an appetite suppressant diet. Meanwhile, while the metabolism is wanting to determine precisely what the heck
    you do, it's going to be raised to the MAXIMUM peak allowing you to lose LBS.
    So, a few pounds loss regime may work wonders
    for a person rather than so great for another person.

    ReplyDelete
  3. Divorce,drama, loss of a job, health concerns about yourself or someone you care about - this stuff happen. If getting
    pregnant into good shape is very important to you personally then these food types won't help you achieve that.
    The results were run out skin and mental fuzziness as
    well as cravings for fatty foods.

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA