ALBUM MPYA YA MANSU-LI IKO MTAANI


Photo: ALBUM MPYA YA MANSU-LI ITAKUWA KITAANI WEEKEND HII.

Album mpya ya msanii wa Hip Hop nchini Mansu-Li inayoitwa KINA KIREFU inatarajiwa kuwa kitaani weekend hii na itakuwa ikasambazwa na yeye mwenyewe.
Kama wewe ni shabiki wa Mansu-Li na unapenda kazi basi piga namba hii +255 784 351667 ili kuipata Album hii mpya yenye mawe makali sana. 

Album mpya ya msanii wa Hip Hop nchini Mansu-Li inayoitwa KINA KIREFU iko mtaani sasa ikisambazwa na yeye mwenyewe.Kama wewe ni shabiki wa Mansu-Li na unapenda kazi za wasanii wa hip hop hapa bongo basi piga namba hii +255 784 351667 ili kuipata Album hii mpya yenye mawe makali sana.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA