HIVI NDIVYO HALI INAVYOENDELEA KATIKA BONANZA LA PR

Bado bonanza linaendelea katika uwanja wa Raila Odinga,sasa hivi ikiwa PR 3 VETERANI wakiwa uwanjani PR 2,matokeo ya awali ni kwamba PR3 kashinda 4-2,baada ya kuwachapa PR 2 kwa njia ya matuta....so more stories to come,pata hizo picha kuona kinachoendeea uwanjani.
MC SAMU WA BONANZA HILI AKIENDELEA KUTOA MAELEKEZO MBALIMBALI.

KIKOSI CHA PR 3

PR 3

MAVETERANI WA PR3 WAKIPATA SOMO BAADA YA MAPUMZIKO

WADAU WAKIWA WAMEJITOKEZA.

WADAU WA PR 3 WAKIWA WAMEPOZ


KIGOMAAAA ...........

MDAU KILLIAN AAAH KAMA MCHINA HV.

WADAU WAKIJIANDAA KUVUTA KAMBA PR2 NA PR3

PR 2 WAMESHINDA PR 3 KATIKA UVUTAJI WA KAMBA
KIKOSI CHA PR2

PR 2 NA PR3 KATIKA PICHA YA PAMOJA.

KIKOSI CHA PR 1

MAVETERANI WA PR3

KIKOSI CHA PR 2 NA PR 3


PR 2 WASHINDI KATIKA UVUTAJI WA KAMBA.


Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA