HII NDO LIST NZIMA YA WASHINDI WA TUZO ZA KILLLIMANJARO MUSIC AWARDS- 2013


Usiku wa tuzo za KTMA ulipambwa na burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii mbalimbali wakiwemo Linah, Amini, Richie Mavoko, Mataluma, Hussein Jumbe, Zahir Zorro, Patricia Hillary na Barnaba. Wengine ni Snura, Godzilla, Mabeste, Madee na Afande Sele.

Host wa tuzo hizo mwaka huu alikuwa ni Zembwela na TJ.


Hii ni list nzima ya tuzo hizo.


Wimbo bora wa mwaka

Dear God – Kala Jeremiah

Msanii bora wa Kiume

Diamond


Msanii bora wa kike
Lady Jaydee


Msanii bora wa kike Taarab
Isha Mashauzi


Msanii bora wa kiume Taarab
Mzee Yusuf


Msanii bora wa kiume Bongo Flava
Diamond

Msanii bora wa kike Bongo Flava

Recho


Msanii bora wa Hip Hop
Kala Jeremiah


Msanii bora wa kiume Bendi
Chalz Baba


Msanii bora wa kike Bendi
Luiza Mbutu


Msanii bora anayechipukia
Ally Nipishe

Video bora ya mwaka
Baadaye – Ommy Dimpoz


Mtunzi bora wa mashairi Taarab
Mzee Yusuf


Mtunzi bora wa mashairi Bongo Flava
Ben Pol

Mtunzi bora wa mashairi hip hop

Kala Jeremiah


Mtunzi bora wa mashairi Bendi
Chalz Baba


Mtayarishaji bora wa mashairi muziki wa kizazi kipya
Man Walter


Mtayarishaji wa wimbo wa mwaka – Taarab
Enrico


Mtayarishaji wa wimbo mwaka – Bendi
Amoroso


Mtayarishaji chipukizi wa mwaka
Mesen Selekta

Rapper bora wa bendi
Fagasoni


Wimbo bora wenye vionjo vya asili
Chocheeni Kuni – Mrisho Mpoto ft Ditto


Wimbo bora wa bendi
Risasi Kidole – Mashujaa Band


Wimbo bora wa Reggae
Kilimanjaro – Warriors from The East


Wimbo bora wa Afrika Mashariki
Valu Valu – Jose Chameleone


Wimbo bora wa Bongo Pop
Me an You – Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee


Wimbo bora wa kushirikiana/Kushirikishwa
Me and You – Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee



Wimbo bora wa Hip Hop
Nasema Nao – Nay wa Mitego


Wimbo bora wa rnb
Kuwa na Subira – Rama Dee ft. Mapacha


Wimbo bora wa ragga/ dancehall
Predator – Dabo

Wimbo bora wa Taarab

Mjini Chuo Kikuu – Khadija Kopa


Wimbo bora wa zouk rhumba
Ni wewe – Amini


Bendi bora ya mwaka
Mashujaa Band

Kikundi bora cha Taarab

Jahazi Modern Taarab


Kikundi bora cha muziki wa Kizazi kipya
Jambo Squad

Hall of Fame – Institution
Kilimanjaro Band wana Njenje

Hall of Fame – Individual
source :www.freebongo.blogspot.com
Salum Abdallah

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA