MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) KANDA YA MASHARIKI WATOA SEMINA YA MAWASILIANO KWA WADAU WAO KATIKA WILAYA YA BAGAMOYO


Mkurugenzi wa Huduma za Mawasiliano wa TCRA, Dk.Raynold Mfungahema,akionyeshwa na  Rajabu Husein ujumbe kwenye simu yake  wakati  alipokuwa akitoa mada  ya haki  na wajibu wa watumiaji  wa huduma za mawasiliano  katika semina  ya watumiaji wa huduma za Mawasiliano (wadau) iliyowashirikisha wakazi wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.Semina hiyo iliandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Kanda ya Mashariki

Mkurugenzi wa Huduma za Mawasiliano wa TCRA, Dk.Raynold Mfungahema,akimsikiliza mmoja wa wanasemina waliohudhuria   katika semina  ya watumiaji wa huduma za Mawasiliano (wadau) iliyowalenga  wawakilishi ,jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vyaWilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.Semina hiyo iliandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Kanda ya Mashariki.

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahmedi Kipozi  akisalimiana na Ramadhan Said  wakati wa uzinduzi rasmi wa semina ya  wadau wa huduma za Mawasiliano  iliyowalenga wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.semina hiyo ilialiandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzanizi(TCRA ) Kanda ya Mashariki.

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahmedi Kipozi  akisalimiana na Ramadhan Said  wakati wa uzinduzi rasmi wa semina ya  wadau wa huduma za Mawasiliano  iliyowalenga wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.semina hiyo ilialiandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzanizi(TCRA ) Kanda ya Mashariki


Mkurugenzi wa Huduma za Mawasiliano Dk.Raynold Mfungahema akitoa mada ya Haki na wajibu wa watumiaji wa huduma za mawasiliano  wakati wa semina ya watumiaji wa huduma za mawasiliano iliyofanyika katika chuo cha sanaa cha Bagamoyo kwa kuwashilikisha wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya ya hiyo.

Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki Mhandisi Oscar Mwanjesa akimkabidhi  zawadi  ya simu  Mwanahamisi Muhamed baada ya kujishindia wakati wa semina ya watumiaji wa Mawasiliano  (wadau) iliyowashirikisha wakazi wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.Semina hiyo iliandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Kanda ya Mashariki.

Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki Mhandisi Oscar Mwanjesa akimkabidhi  zawadi  ya simu  Ramadhani Said (76)  baada ya kushinda  kujibu swali  wakati wa semina ya watumiaji wa huduma za Mawasiliano (wadau) iliyowashirikisha wakazi wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.Semina hiyo iliandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Kanda ya Mashariki.

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahamed Kibozi  (kushoto)akifuatilia mada ya Haki na wajibu wa watumiaji wa huduma za mawasiliano  pamoja na wanasemina wenzake katika ukumbi wa chuo cha sanaa Bagamoyo iliyokuwa aikitolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Mawasiliano Dk.Raynold Mfungahema hayupo pichani. Wakati wa semina iliyowalenga wadau wa huduma za Mawasiliano, wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya ya Bagamoyo.

Baadhi ya washiriki wa semina ya  wadau wa huduma za Mawasiliano  iliyowalenga wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.aliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzanizi(TCRA ) Kanda ya Mashariki  wakiwakatika foleni ya kujiandikisha wakati wakuingia katika semina hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa chuo cha sanaa bagamoyo.

Mwahamisi Rajabu akiwa na wenzake katika semina ya wadau wa huduma za Mawasiliano  iliyowalenga wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.aliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzanizi(TCRA ) Kanda ya Mashariki  wakiwakatika foleni ya kujiandikisha wakati wakuingia katika semina hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa chuo cha sanaa Bagamoyo.

Mhasibu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)Patrice Lumumba akitao zawadi ya simu kwa mmoja wa wasshiriki wa semina ya   wadau wa huduma za Mawasiliano  iliyowalenga wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.aliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzanizi(TCRA ) Kanda ya Mashariki  hivi karibuni.
Kaimu Mkurugenzi wa Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Fredrick Ntobi akitoa mada inayohusiana na  utangazaji  wakati Semina ya wadau wa huduma za Mawasiliano  iliyowalenga wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.aliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzanizi(TCRA ) Kanda ya Mashariki  hivi karibuni.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA