Posts

UCHAGUZI MKUU 2010: Mawaziri wanyakua ushindi mezani

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kujitwalia majimbo ya ubunge kabla ya upigajikura hapo Oktoba 31 mwaka huu, baada ya idadi ya wagombea wake wakiwemo mawaziri kupita kwa ushindi wa 'mezani' wa mapingamizi dhidi ya washindani wao na kuwezesha chama hicho, kuweka kibindoni majimbo 16 hadi sasa hivi. Hadi jana, CCM iliweza kujitwalia majimbo zaidi likiwemo Mlele kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, baada ya mgombea wa CUF Abasi Rashid, kujitoa kwenye mbio hizo huku katikia Jimbo la Mtama, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akipita kwa mlango huo wa pingamizi dhidi ya Isaya Ndaka wa TLP, baada ya kukosa idadi ya wadhamini wanaohitajika. Kasi hiyo ya CCM ilizidi kuongezeka jana baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani Lawrence Masha kupita kwa mlango huo wa pingamizi dhidi ya mshindani wake kutoka Chadema Wenje Ezekie huku Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja, naye akipeta. Hadi sasa wana CCM waliotangazwa kuteuliwa wabunge na majimbo yao kwenye mabano ni

Watanzania wanaoishi nje hawatapiga kura 2010

Serikali imesema kuwa bado haijakamilisha mkakati utakaowezesha Watanzania wanaoishi nje ya nchi kupiga kura hivyo watakosa haki hiyo katika uchaguzi mkuu utakoafanyika Oktoba 31, mwaka huu. Waziri wa Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe alisema kuwa, kwa sasa bado wanalishughulikia suala hilo lakini hawawezi kupiga kura kwa sababu mchakato huo bado. “Hawawezi kupiga kura watanzania wanaoishi nje ya nchi, kwa sababu suala lao bado linafanyiwa kazi, hivyo basi hawawezi kupata nafasi ya kushiriki kwenye uchaguzi huu,”alisema Membe jana alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kuongeza kuwa, Serikali bado inaendelea kuweka mazingira yatakayowezesha watu hao kupiga kura waweze kushiriki katika uchaguzi wa mwaka 2015. Alisema pindi mchakato huo utakapokamilika, Serikali itaweka hadharani ili wadau wote wafahamu namna utakavyotekelezwa kwa kuweka mazingira huru yenye lengo la kupanua demokrasia.

HAZINA YA UTALII KISIWANI UKEREWE

Image
KATIKA POZI MASUPER STAR WA KESHO WA PANDE HIZO ZA UKEREWE MLANGO WA KUINGIA PANGO LA BENKI. KORIDO INAYOTENGANISHA PANGO LA HIFADHI (SEHEMU YA BENKI YA WATEMI) NA UKUMBI WA MAPUMZIKO. ILI KUKUZA MAENDELEO YA SEKTA YA UTALII, KAMA MCHANGO WA SEKTA HII KWA TAIFA, JUHUDI ZAIDI ZA KUBORESHA MIUNDOMBINU KATIKA VIVUTIO VYA UTALII SHURTI VIPEWE KIPAUMBELE. MUHIMU NI KWA SERIKALI NA WAENDESHA SHUGHULI ZA UTALII NCHINI, KUANDAA UTALII KWA WANANCHI ILI WAWEZE KUONA VIVUTIO NA UTAJIRI WA NCHI YAO. OF COZ' SEHEMU YA SOMO LA HISTORIA UTALII NI NJIA NYINGINE YA KUPATA ELIMU. LIKIWA NA MVUTO WA KIPEKEE HILI NI KANISA LA KWANZA LA ROMAN CATHOLIC LILILOJENGWA ENZI ZA UKOLONI KTK KISIWA CHA UKARA WILAYANI UKEREWE. H ANDEBEZYO HILL SEHEMU ILIYO JUU YA KILELE CHA KILIMA CHA PANGO LA BENKI YA WATEMI . ENEO AMBALO LILITUMIKA KWA AJILI YA ULINZI NA USALAMA WA KISIWA, KUONA MAADUI WANAOKUJA KUVAMIA NA KADHALIKA. UKISIMAMA ENEO HILI UNAONA SEHEMU KUBWA YA KISIWA CHA UKEREWE.

Ci-Error Is STILL Letting 50 Cent Ri-i-i-iiide!!!

Image
Ciara is still getting her tender cakes CHOPPED DOWN by 50 Cent ! In case you wondered whether the love is still strong between rapper/actor 50 Cent and r&b singer Ciara it sure looks like it is. The pair arrived for a lil hotel rendezvous in New York City yesterday.

Web/Graphics Designer needed urgently

Location: Dar es Salaam, Tanzania Employment Type: Full-Time Summary: WEB/GRAPHICS DESIGNER, WANTED URGENTLY Our offer: Challenging position, stimulating environment conducive to profesional and personal development Remuneration and terms commensurate with the competences of the candidate and responsibilities of the job Requirements: A good Bachelors degree or Equivalent in relevant field Practical knowledge and experience web design and relevant tools, including CSS, XML and HTML. At least 1 year demonstrable experience Ability to work with limited supervision Enthusiasm towards learning Good inter-personal skills Closing Date:02 September 2010 Contact Info: Enble Consulting Address: P.O. Box 78406 Plot 149, Mikocheni B, Dar es Salaam, Tanzania. Telephone: +255 614 109 697 Email: info@enble.co.tz Submit your application (with copies of the relevant documents)
katika peruzi yangu katika tovuti mbalimbali nikakutana na hii habari kuhusu wanaume ambao hawajaoa ebu endelea kusoma mwenyewe i) Wanaume wengi ambao hawajaoa huoga mara moja tu kwa siku (wengine hata siku mbili au zaidi), hali inayopelekea kunuka majasho, na katika kufunika hili hujipulizia perfume kali. sasa timbwili linakuwa anapoingia kwenye majambo, dk chache tu majasho mapya+ya zamani+perfume unakuta ananuka uvundo... ii) Wanaume wengi ambao hawajaoa hufua kufuli zao mara 1 kwa saa 24 (au zaidi), na ukiwafuma kwa gafla (kama hamkupanga) unakuta wana kamchirizi keusikeusi sehemu ya chicni ya kufuli kwa ndani. Kufunika hili wengi hupenda kuvaa boxer za rangi isiyoonyesha, hawavai nyeupe iii) Wanaume wengi ambao hawajaoa wanafuga mav*** iv) Wanaume wengi ambao hawajaoa kwa kuwa mara nyingi wanakuwa na ukame, ni rahisi kula hata mademu wa chini ya viwango vyao (hata makahaba), hii inasababisha unaweza kukutana nae gafla ukakuta katoka kunyonywa. v) Wanaume wengi ambao hawajaoa wanav

Shy-Rose Bhanji Amwonya Msekwa

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shy-Rose Bhanji, amemshutumu Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Pius Msekwa na kumtaka aache kukifanya chama hicho kama mali yake. Shy-Rose ambaye aliwania ubunge katika Jimbo Kinondoni, jijini Dar es Salaam na kushindwa kwenye kura za maoni, alitoa kauli hiyo jana akijibu kauli ya Msekwa ya juzi akiwataka wanaotaka kuhama chama hicho baada ya kushindwa kwenye uteuzi wahame haraka. Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano kwa njia ya simu, Shy-Rose alisema ameshtushwa na kauli ya Msekwa kwani hakuwa na haki ya kutamka maneno mazito na yasiyo ya kiungwana hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. “Kwa kweli nilivyosoma gazeti moja leo nimekutana na habari hii, ikanishtua kidogo. Nikajiuliza hivi huyu mzee Msekwa anasema maneno ya ajabu namna hii, hiki chama ni chake binfasi? Pengine amejisahau kwamba CCM ni chama chetu wote, sasa iweje yeye awe na ujasiri wa kujiamini kutoa maneo ya ajabu wakati hiki ni chama chetu wote au yeye anadhani ni chama

Atakayemuonyesha Obama Matiti Yake Kulipwa Dola Milioni 1

Bilionea Alki David ili kuitangaza tovuti yake ya "Battlecam" ameahidi donge nono la dola milioni 1 kwa mwanamke yoyote atakayekuwa wa kwanza kujitokeza mbele ya rais Obama na kisha kumuonyesha matiti yake huku akiwa amebandika lebo ya "Battlecam" kwenye kifua chake. Sharti ya kushinda donge hilo nono ni kwamba tukio hilo lazima lionyeshwe LIVE kwenye tovuti ya Battlecam inayomilikiwa na bilionea huyo. Awali bilionea huyo aliahidi kutoa zawadi ya dola laki moja lakini ameamua kuiongeza zawadi hiyo iwe dola milioni 1 baada ya watu kuona dola laki moja si donge nono. "Watu wengi wanafikiria dola 100,000 hazitoshi kumfanya mtu azionyeshe sehemu zake nyeti kwenye hadhara, lakini dola milioni 1 ni pesa za kutosha kabisa", alisema bilionea Alki. Alki alisema kwamba hadi sasa jumla ya watu 150 wameishajiandikisha kuwania zawadi hiyo. Bilionea huyo alidai kuwa ameamua kumchagua Obama kwakuwa Obama ndiye kiongozi mkubwa wa dunia. Bilionea Alki alizaliwa Lagos, Nige

Tovuti za Vyama Vya Siasa nchini Tanzania

Baadhi ya vyama vya Siasa nchini Tanzania vimefungua tovuti zao ambazo huwawezesha watu mbalimbali kupata taaarifa na habari zinazohusiana chama, siasa na masuala mengine yanayoihusu nchi. Wakati tunapoelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba, watu wengi walipo nje ya nchi pamoja na wafuatiliaji wa mambo wa Kimataifa wanapata taarifa nyingi kupitia kwenye mitandao, ambapo sehemu rasmi yakupata taarifa hizo ni kwenye tovuti rasmi za vyama na tume za uchaguzi. Lakini ni jambo la kushangaza na kusikitisha sana, kwamba sehemu hii ya taarifa haijapewa kipaumbele kama vile redio, televisheni na magazeti. Baadhi ya tovuti za vyama hivi hazina habari mpya tangu zianzishwe. Nyingine zina taarifa zilizochapishwa muda muda mrefu sana il hali yamekuwepo matukio mengi ambayo yangestahili kuripotiwa tangu wakati huo hadi sasa. Kwa kweli ni vigumu kung'amua ikiwa ni tatizo ni la kiteknolojia au tu kutokuipa kipaumbele TEKNOHAMA? Wahusika wa vyama na tovuti hizi tafadhalini kumbukeni kutumia to

Jay-Z Tops Hip-Hop's Cash Kings 2010 List

Image
Jay-Z needs to update his song 99 Problems , because it REALLY doesn’t seem like he has too many problems at all! At earnings of $63 million for the past 12 months, Jay-Z gets the title of #1 Hip-Hop Cash King by far. The list is based upon numbers from several music industry sources, including Nielsen, Billboard, and Pollstar. Jay-Z’s earnings derive from not only tremendous album sales, but also his earnings from his worldwide tour, the 40/40 nightclub chain, and his stake in the New Jersey Nets basketball team. Trailing far behind Jay-Z is P. Diddy , who earned the #2 spot with $30 million through album sales, television and film roles, his liquor brands, and Diddybeats ear-bud sales. Following behind Diddy is Akon at $21 million, Lil Wayne at $20 million, Ludacris at $16 million, Kanye West at $12 million, and 50 Cent at $8 million, who took a break from music work to take on film roles. While she’s not a male Hip-Hop recording artist, Jay-Z’s wife Beyonce blew absolute

mmmmmmmmmh kazi kweli kweli

Image

waliochukua fomu za kugombea urais mpaka sasa

Hadi kufikia tarehe ya leo, Jumamosi 14 Agosti 2010 wagombea waliochukua fomu za kinyang'anyiro cha Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni hawa watuatao: 1. Richard Kiyabo - NRA 2. Jimmy Obedi Mshana - Demokrasia Makini 3. Jakaya Mrisho Kikwete - CCM 4. Peter Mziray - APPT-Maendeleo 5. Paul Kyara - SAU 6. Christopher Mtikila - DP 7. Wilbroad Slaa - CHADEMA 8. Ibrahim Lipumba - CUF 9. Mutamwega Mugahywa - TLP 10. Hashim Rungwe - NCCR-Mageuzi Kwa bahati mbaya, wasifu wa wengi wa wagombea hawa imekuwa ni vigumu kuupata habari hii ni kutoka tovuti ya www.wavuti.com