SIMBA WAHAMA BAMBA BEACH


VINARA wa ligi kuu soka Tanzania Bara,Simba leo wanatarajiwa kuhamisha kambi yao kutoknaka katika hoteli ya Bamba Beach iliyopo Kigamboni mpaka katikati ya jiji la Dar es Salaam, yote ikiwa ni katika maaandalizi ya pambano lao na mahasimu wao wa jadi nchini Yanga, itakayopigwa kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA