MATOKEO 2013: ANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 HAPA

Matokeo ya kidato cha nne yaliyofanyika mwanzoni mwa mwezi November, 2013 yametoka
Matokeo ya Kidato cha nne 2013 huku kiwango cha ufaulu kikiwa kimepanda kwa asilimia 15.17 kutoka asilimia 43.08 mwaka 2012 hadi 58.25 mwaka 2013.

Watahiniwa wafaulu zaidi katika somo la Kiswahili (67.77%), na wafanya vibaya zaidi Basic Mathematics (17.78%).

Je, nini maoni yako kuhusu matokeo haya? Weka maoni yako hapa.
unaweza kuangalia hapa kwa kuclick link hii 

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA