CHAGUA DOVAKMWENE MSCHESHI KUWA RAIS WA SAUT



Onyesha uzalendo wako kwa vitendo kwa kujitokeza kesho tarehe 12/04/2013 siku ya Ijumaa kuanzia saa 2 Asubuhi fika bila kukosa ukiwa na kitambulisho chako cha chuo na umpigie kura ya NDIO mwanachama wetu wa SSPRA Mh. Dovakmwene Mscheshi anayewania nafasi ya urais katika serikali ya wanafunzi SAUTSO akiwa na makamu wake Mrosso Emiline

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA