SASA WANANFUNZI WA SECONDARY WAPATA MTANDAO WA KUJIFUNZIA,

Hii ni mojawapo ya idea ambayo mimi mwenyewe nimeipenda sana, kiukweli ni unique idea kutoka kwa dada yetu FARAJA NYALANDU kwa kuja na idea ya kuwa na shule ya ONLINE kupitia  internet ambapo kwa sasa wale wanafunzi wote wa secondary kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha nne  wataweza kusoma na kupata notice mbalimbali za masomo yao kupitia mtaala unaotumika kwa sasa,pia wanafunzi hao wataweza kufanya mitihani,quiz na kuweza kusahihishiwa na walimu ambao watakuwepo katika kusaidia kazi nzima.

Kujiunga ni bure kabisa

                                                    click link hii hapa kufungua tovuti hiyo
                                                               
                                                                      SHULE DIRECT

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA