UTABIRI WA HALI YA HEWA APRIL 06-JUMAMOSI



WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.


UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 06/04/2013.

[[Mikoa ya Dodoma na Singida ]:
[Mikoa ya Kigoma, na Tabora]:

Hali ya mawingu ,mvua na ngurumo kwa baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua

[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza  na Shinyanga]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Rukwa ,Mbeya na Iringa]:

Hali ya mawingu kiasi mvua na ngurumo
kwa maeneo machache na vipindi vya jua

[Mikoa ya Morogoro na Ruvuma]:

Hali ya mawingu, mvua na  ngurumo katika  maeneo  machache na vipindi vifupi vya jua.

[Mikoa ya Dar es Salaam,Tanga na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:

Hali ya mawingu kiasi na mvua  katika maeneo  machache na vipindi  vya jua.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
25°C               
12:44
D'SALAAM
32°C           
12:33
DODOMA
29°C
12:47
KIGOMA           
29°C
01:11
MBEYA
25°C
12:56
MWANZA
27°C
12:58
TABORA
29°C
12:59
TANGA
32°C
12:34
ZANZIBAR
33°C           
12:33
PEMBA
                     32°C
12:29
MOROGORO
31°C
12:35

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-mashariki kwa  kasi ya km 30 kwa saa kwa  Pwani    yote.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi.

Matazamio kwa siku ya Jumamosi 06/04/2013Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 06/04/2013.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA