UTABIRI WA HALI YA HEWA APRIL 06-JUMAMOSI



WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.


UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 06/04/2013.

[[Mikoa ya Dodoma na Singida ]:
[Mikoa ya Kigoma, na Tabora]:

Hali ya mawingu ,mvua na ngurumo kwa baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua

[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza  na Shinyanga]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Rukwa ,Mbeya na Iringa]:

Hali ya mawingu kiasi mvua na ngurumo
kwa maeneo machache na vipindi vya jua

[Mikoa ya Morogoro na Ruvuma]:

Hali ya mawingu, mvua na  ngurumo katika  maeneo  machache na vipindi vifupi vya jua.

[Mikoa ya Dar es Salaam,Tanga na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:

Hali ya mawingu kiasi na mvua  katika maeneo  machache na vipindi  vya jua.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
25°C               
12:44
D'SALAAM
32°C           
12:33
DODOMA
29°C
12:47
KIGOMA           
29°C
01:11
MBEYA
25°C
12:56
MWANZA
27°C
12:58
TABORA
29°C
12:59
TANGA
32°C
12:34
ZANZIBAR
33°C           
12:33
PEMBA
                     32°C
12:29
MOROGORO
31°C
12:35

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-mashariki kwa  kasi ya km 30 kwa saa kwa  Pwani    yote.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi.

Matazamio kwa siku ya Jumamosi 06/04/2013Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 06/04/2013.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

Comments

Popular posts from this blog

HABARI NJEMA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA