Posts

ALICHOKISEMA FID Q TZ HipHop!

Image
Fid Q. Miaka 11 ya “FidQ.com” Kitu chochote kile kinaweza kuchukuliwa kama kazi ya sanaa, ila inategemea mtazamo wa hadhira ukoje juu ya kitu au kazi husika. Kwa upande mwingine, historia — hasa za jamii au vikundi vya jamii vilivyokuwa na vinavyoendelea kukandamizwa kwa namna moja au nyingine — husema vingine. Sanaa imekuwa ni mojawapo ya zana zinazotumiwa kufungua macho na fikra za watu kwenye jamii mbalimbali, katika vipindi tofauti. Mfano mzuri ni ndugu zetu wa Afrika Kusini. Wakati wa utawala wa kibaguzi (herufi ndogo zimetumiwa kwa makusudi), watu waliokuwa wanaangaliwa kama viongozi walikuwa hawaruhusiwi kukutana au kuongea na mtu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Lakini harakati zao hazikugota; waligeukia sanaa — wakatumia kazi za sanaa kuamsha watu. Kwa hapa nyumbani, historia sio tofauti sana. Wazazi wetu waliokuwa kwenye harakati za kuusaka Uhuru walitumia mpaka ngonjera za mashuleni kuwasilisha sera za TANU, ASP na vyama vingine vya siasa. Kiz

*R.I.P* Whitney Houston Dead At 48

Image
This one just hit us like a rock! Whitney Houston died this afternoon (USA)HRS… a rep for the singer told the Associated Press. Houston won two Emmy Awards, six Grammy Awards, 30 Billboard Music Awards, 22 American Music Awards during her record-breaking career. Her album “Whitney” was the first female album to ever debut at #1 on the Billboard Charts. She has sold 200 albums world wide. Houston holds an Honorary Doctorate in Humanities from Grambling State University in Louisiana. Houston had one child, Bobbi Kristina, with husband Bobby Brown. Houston and Brown were married from 1992-2007. Paramedics were called to the Beverly Hilton today when Houston was found unresponsive in her hotel room … sources tell TMZ. We’re told police arrived to the scene within minutes and fire was already there on another call. According to our sources, paramedics performed CPR but it did not work and she was pronounced dead at 3:55 PM. Our sources say there were to signs of foul

R.I.P WHITNEY HOUSTON

Image
Kupitia vyombo vya habari mbalimbali zikiwemo mitandao ya kijamii kama facebook na twitter imedhibitisha kutoa kwa kifo cha Mwanamziki wa miondoko ya R&B Whitney Houston.......habari kamili za chanzo cha kifo chake zitawaijia hivi punde baada ya kupata uhakika.

How to Create a Winning Business Name

What’s a winning business name? A business name that draws business in itself. Creating a winning business name takes some thought but is one of the most important things you’ll do during the process of starting a business. Starting out with a weak business name is like trying to golf with only one club in your bag. You may sink some shots but it will be a whole lot harder. So how do you create a winning business name? Get your family, friends and/or colleagues together for a business name brainstorming session and work through these five rules for choosing a business name: 1) A winning business name has to be memorable – but easy to spell. Obviously, your potential customers and clients need to be able to remember your business name. But they also need to be able to find it easily if they’re looking for it in a phone book, directory or online. So choosing a business name such as “Crychalwellyn” is a bad idea. Unique is good but difficult spellings are a bad idea

DALADALA IN ROCK CITY.....

Image
Daladala katika mitaa ya Mwanza. K ile kipindi cha Daladala kinachorushwa kila siku kupitia ITV kikifanyika ndani ya Daladala ambamo humo abiria hujadiliana masuala mbalimbali yanayozunguka katika harakati za maisha yao ya kila siku, sasa ni zamu ya mkoa wa Mwanza hivyo basi ukikutana na Daladala maeneo ya Nyegezi, Kilimahewa, Pansiasi, Igombe, Igoma, Mabatini, Magu na kwingineko kote panda kisha husika.... Mtangazaji wa kipindi cha Daladala kinachorushwa kupitia ITV Daniel Kijo akisalimiana na mkuu wa mkoa wa Mwanza Erenest Ndikilo, pindi crew ya kipindi hicho ilipodhuru ofisini kwa mkuu huyo jijini Mwanza leo tayari kuanza shughuli zake rasmi kuanzia wiki ijayo siku ya jumatatu. Jenerali Ulimwengu akizungumzia mdahalo wa Uhuru wa vyombo vya habari uliofanyika jana katika chuo cha SAUT -Mwanza . Mdahalo ulilenga kuainisha maeneo yanayohusiana na uhuru wa vyombo vya habari ni changamoto zipi, matatizo yapi, wapi kunahatarisha uhuru wa tasnia ya habari, ni namna gani y

Rose Muhando Apata Mkataba wa kufanya Kazi na Kampuni ya Sonny Music Manusha Sarawan akielezea mchakato ulivyokuwa hadi kumpata Rose Muhando Mtumishi wa Mungu na muimbaji wa nyimbo za injili kutoka Dodoma Tanzania Rose Muhando ametangazwa kuwa msanii wa kwanza Afrika kuchaguliwa kuingia mkataba na kampuni kubwa na maarufu duniani inayojihusisha na biashara ya muziki ya SONY ukiachilia mbali wasanii kutoka nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya Sonny Mama Manusha Sarawan, Mchakato huo ulishirikisha zaidi ya wanamuziki 100 kutoka barani Afrika na Rose akaibuka mshindi.Mkutano wa kumtangaza Rose mhando kama mshindi wa shindano hilo ulifanyika leo katika Hoteli ya kilimanjaro. Bahati Bukuku, Diamond pamoja na Ali Kiba wakifuatilia kwa makini mkutano huo hivi leo kampuni za Sony na Rockstar 4000 iliyowahi kumpa msanii wa bongo fleva Ally Kiba jukumu la kufanya nyimbo ya pamoja na R.kelly ndio zimetangaza kuhusu jambo hili leo Dar es salaam.Mwakilishi wa Rockstar 4000 upande wa kipaji Afrika Seven Mosha amesema japo kwa sasa hawawezi kutaja kiwango cha pesa atakachopata Rose Muhando baada ya kupata hilo dili, mkataba wake ni wa miaka mitano. Amesema baada ya movie zake kutengenezwa, vitabu vyake pamoja na vitega uchumi vingine ndio wataanza kutaja mapato yake.Seven amesema katika mchujo walioufanya mpaka kumpata Rose Muhando, ulihusisha wasanii wengine nane wakubwa wa Tanzania, waimbaji wa Gospel na Bongo Fleva na pia walikua na idadi nyingine kubwa ya wasanii wa nchi nyingine za Afrika kama Nigeria ambapo mwishoni mtumishi wa Mungu Rose Muhando akashika nafasi ya kwanza. Wanamuziki wa injili John Shabaani na Bahati Bukuku wakimpongeza Rose Muhando ukumbini hapo. Katika mkataba huo, tayari Rose Muhando amerekodi album nzima Afrika kusini kazi ikiwa imesimamiwa na Sony ambapo amepata nafasi ya kushirikiana katika nyimbo na na wanamuziki wengine wakali wa gospel wa nchi hiyo ambao watatajwa hivi karibuni. Rose Muhando amekuwa akifanya vizuri kwenye Mauzo ya album zake na kwa sasa ndiye Mwanamuziki anayeongoza kwa mauzo ya album zake nchini. Kwa mujibu wa Seven amesema mkataba huo haumfungi Rose Muhando kurekodi nyimbo zake na studio yoyote Tanzania, japo mpango wa Sony sasa hivi ni kumpeleka juu zaidi kwenye mauzo ya kimuziki Afrika ambapo atatumia lugha hiyo hiyo ya kiswahili. Rose Muhando ameingia katika orodha ya wanamuziki mbalimbali wakubwa Duniani wanaofanya kazi na Kampuni ya Sonny. Music

Image
Manusha Sarawan akielezea mchakato ulivyokuwa hadi kumpata Rose Muhando Mtumishi wa Mungu na muimbaji wa nyimbo za injili kutoka Dodoma Tanzania Rose Muhando ametangazwa kuwa msanii wa kwanza Afrika  kuchaguliwa kuingia mkataba na kampuni kubwa na maarufu duniani inayojihusisha na biashara ya muziki ya SONY  ukiachilia mbali  wasanii kutoka nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya Sonny Mama Manusha Sarawan, Mchakato huo ulishirikisha zaidi ya wanamuziki 100 kutoka barani Afrika na Rose akaibuka mshindi.Mkutano wa kumtangaza Rose mhando kama mshindi wa shindano hilo ulifanyika leo katika Hoteli ya kilimanjaro. Bahati Bukuku, Diamond pamoja na Ali Kiba wakifuatilia kwa makini mkutano huo hivi leo kampuni za Sony na Rockstar 4000 iliyowahi kumpa msanii wa bongo fleva Ally Kiba jukumu la kufanya nyimbo ya pamoja na R.kelly ndio zimetangaza kuhusu jambo hili leo Dar es salaam.Mwakilishi wa Rockstar 4000 upande wa kipaji Afrika

THANKS GOD

Nashukuru Mungu kwa kumaliza mitihani,( UE )kwani kuna mengi yanatokea wakati wa kufanya mitihani hiyo sa zingine unaweza kuugua ghafla so ni jambo la kumshukuru pia,kilichobaki ni kusubilia kuvuna nilichopanda. Nawashukuru pia wapenzi wa blog hii kwa kuwa wavumilivu kipindi chote nilichokuwa kimya bila kuuptodate,lakini nimerudi so kazi imeanza.............................

SAMAHANI SANA WAPENZI WOTE WA BLOG HII

WAPENZI WA BLOG HII NIMEBANWA NA MITIHANI YA KUMALIZA SEMISTER YA KWANZA HIVYO NAOMBA MNIVUMILIE KIDOGO MPAKA HAPO TAREHE 8/2/2012 NDIO NITAKUWA NAMALIZA MTIHANI,LAKINI KAMA ITATOKEA NAFASI BASI INFO ZITAKUWA ZINAPATIKANA PIA SAMAHANI SANA

HAPPY BIRTHDAY FRIDA

Image
Frida ni mmoja wapo wa wadau wakubwa wa blog hii,leo ni siku yake ya kuzaliwa. "Happy birthday, and may this day be a special one to always remember."

Maelezo ya Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii kuhusu hoja za madaktari

Utangulizi Uongozi wa Wizara umekuwa ukifanya vikao mbalimbali na Viongozi wahusika wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) katika kutatua suala la Madaktari wanaofanya mazoezi kwa vitendo (internship) na hatimaye suala hili kumalizika. Baadaye MAT waliwasilisha Hoja nane za ziada Tarehe 21/01/2012. Wizara ilifanya mkutano na Uongozi wa Chama cha Madaktari kujadili hoja zilizowasilishwa. Wizara ilitoa maelezo kama ifuatavyo:- Madaktari kupewa nyumba za kuishi karibu na Hospitali Serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma na WIzara ya Fedha inarekebisha Waraka uliotolewa kwa Taasisi kuhusu ani anastahli kupewa nyumba, ili Madaktari waendelee kupatiwa nyumba bila kujali ngazi zao za mishahara. Pamoja na juhudi zinazofanywa na Mikoa na Halmashauri kuwapatia Nyumba Madaktari, Serikali imepata fedha kutoka Mfuko wa Dnia  (Global Fund) kwa ajili ya kujenga nyumba za Madaktari kwa kuanzia Wilaya 18 zilizo pembezo

HATA WEWE UNAWEZA KUSHIRIKI KWENYE HILI

Image
Taasisi ya Hassan Maajart Trust. Makusudi ya Taasisi hii ni kuhamasisha jamii kuchangia madawati na vifaa vingine katika shule zetu ili kufuta kabisa aibu ya watoto wa Kitanzania kukaa sakafuni wakiwa mashuleni. Taasisi hii pia ina duka la hisani yani 'Charity Shop' ambayo watu wanaleta nguo, viatu, vitabu, vyombo nk, vya zamani vyenye ubora na hali nzuri ambavyo hawafikiri kuvivaa tena, au kivitumia tena, na sisi tunaviuza second hand na hela zineanda kwenye mfuko wa madawati.

Miraba Minne ya Chipukizi

Image
Mwaka 2011 ulikuwa mzuri katika nyanja kadhaa za TZhiphop na miradi mingine , ingawa, kama kawaida,  changamoto za hapa na pale hazikosekani. Kwa upande wa wasanii, kwa ujumla wale chipukizi walioanza kusikika mwaka 2010 waliweza kujikita kwenye masikio na nyoyo za wengi. Mwamko wa mashabiki wanaoongezeka ni ushahidi thabiti. Kwa upande mwingine, tunapenda kuwaasa mashabiki pamoja na wasanii waendelee kujifunza kuhusu historia na misingi ya Hip Hop . Mwaka 2012 bila shaka unaonekana utakuwa mzuri zaidi. Wale waliochomoza mwaka 2010 na kufanya vizuri mwaka 2011 wanapevuka. Vivyo hivyo, wale walioanza kusikika mwaka 2011 wanaelekea kuzuri! Wasanii wanne chipukizi wanaojitegemea wameamua kuunganisha vichwa na kuunda Miraba Minne, chini ya uongozi wa mtayarishaji wa ala, Ray.  Ndani ya Miraba Minne kuna Maalim Nash (alikuwa anatumia jina ‘Nash MC’), P The MC , msanii mpya ndani ya M-Lab , Songa , na ZAiiD … Kaa tayari kupokea mixtape yao kwa mikono miwili . Tunatambul