HIVI NDIVYO GRADUATION YA SSPRA ILIVYOFANA
Wiki iliyopita siku ya Jumamosi ilifanyika sherehe ya kuwaaga mwaka wa 3 ambao walikuwa ni wanachama wa SSPRA ambapo sherehe hii ya mahafari ilifanyika katika ufukwe wa ziwa Victoria- -Royal Sunset Beach. Mgeni rasmi katika mahafari hayo alikuwa ni Afsa uhusiano (Public Relations Manager) wa halmashauri ya jiji la mwanza BW. Joseph Alex Mlinzi. Wanachama 45 walitunukiwa vyeti vyao na wengine 21 kutunukiwa vyeti vya shukrani kwa kuweza kuiongoza vizuri Association mpaka hapa ilipofikia. Mgeni rasmi .Joseph Mlinzi aliweza kuwapa nasaa wahitimu wote na kuweza kuipongeza Association kwa kuweza kupiga hatua kubwa sana ukilinganisha na umri wa Association tangu imeanzishwa...Mgeni rasmi pia aliweza kutoa kiwango cha shilingi Million 1 na laki 2(1,200,000) kwa ajili ya kuweza kuimarisha mfuko wa chama. Zifuatazo ni baadhi ya picha ambazo zilichukuliwa wakati wa sherehe hiyo. Mgeni Rasmi Joseph Mlinzi ambaye ni Meneja Uhusiano wa jiji la Mwanza akiingia ukumbini. Mwenyek