Posts

Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Image
what I expected have become true......ndani ya GWANDA.

TANGAZO KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA

Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani la Tanzania anapenda kuwatangazia watu  wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) mwezi, Mei 2014 kama Watahiniwa wa Kujitegemea kwamba kipindi cha usajili kitaanza  rasmi tarehe 1 Julai, 2013 kwa ada ya Shilingi 35,000/=. Kipindi cha malipo  bila adhabu kitaishia tarehe 31 Agosti, 2013. Kuanzia tarehe 1 Septemba, 2013 hadi tarehe 30 Septemba, 2013 waombaji watajisajili kwa ada ya  Shilingi 50,000/- (ada pamoja na faini). Waombaji wote watajisajili kwa njia ya mtandao kupitia tovuti: www.necta.go.tz. ya Baraza la Mitihani la Tanzania. Kabla ya kujisajili  kwenye mtandao waombaji watapaswa kwenda kwenye vituo vya mitihani  kuchukua namba rejea (reference number) watakazotumia kujisajili.  Hakuna  mtahiniwa atakayeweza kujisajili bila kupata namba rejea kutoka katika kituo  anachokusudia kufanyia Mtihani. Wakuu wote wa vituo nchini watakabidhiwa  namba rejea hizo kabla ya muda wa usajili kuanza na watazig

WASANII WATAKAOTUMBUIZA KATIKA SHOW YA UFUNGUZI WA BIG BROTHER WATAJWA

Image
Show ya ufunguzi wa msimu mpya wa shindano la Big Brother Africa itafanyika Jumapili hii, May 26 nchini Afrika Kusini.  Usiku huo utawaonesha washiriki wote 28 watakaoanza safari ya miezi mitatu ya kuzisaka dola laki tatu za msimu wa nane wa Big Brother Africa, The Chase. Miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye ufunguzi huo ni pamoja na STL wa Kenya, Don Jazzy, D’ Prince na Wande Coal kutoka Nigeria na kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini. Pia mchekeshaji wa Kenya Daniel Ndambuki, maarufu kama Churchill atapanda kwenye stage kuwavunja mbavu watazamaji wa show hiyo katika nchi 50 barani Afrika.  Show hiyo itaonekana live pia kupitia website ya Big Brother

LEO NI KUMBUKUMBU YA MIAKA 17 YA KUZAMA MV.BUKOBA

Image
Mei 21,1996 katika ziwa Victoria,Mwanza Tanzania meli ya Mv Bukoba ilipata ajali na zaidi ya watu 800 kupoteza maisha yao.Meli ilizama kilomita 30 kukaribia kutua nanga kwenye bandari ya mwanza ikitokea Bukoba. Meli ikuwa na uwezo wa kubeba idadi ya watu 430. Kwenye first and second class orodha ya abiria ilikuwa 443 na kwenye third class hakukuwepo rekodi yoyote .Takribani 1000 walifariki kwenye ajali hiyo MUNGU AZIWEKE ROHO ZA MAREHEMU WOTE MAHALA PEMA PEPONI,NA PIA MUNGU AWAPE NGUVU WOTE AMBAO WALIPOTEZA NDUGU ZAO KATIKA AJALI HIYO. ASANTE KWA MDAU  Petter Isuti Mioyo   KWA KUTUKUMBUSHA KUPITIA ACCOUNT YAKE YA FACEBOOK

NAOMBA DUA ZENU WADAU WOTE

Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunibariki kila kunapokucha na kuweza kunipa nguvu za kusimama na kufikiri vyema, ndugu zangu sasa wakati unakaribia kabisa wa kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu nayosomea shahada ya mahusiano ya Umma na Masoko. Zimebaki takribani wiki 8 ambayo ni sawa na miezi 2 hivi kuhitimu elimu hii,jambo lililopo mbele yangu ni hapo kesho katika kutetea utafiti nilioufanya (Research defense) mbele ya jopo la wahadhili, si jambo ndogo waweza kuwa na confidence ya kutosha lakini linapofika swala la Maswali kila mhadhili huwa anauliza kwa jinsi anavyojisikia yeye na pengine hata kukuuliza kitu kisichohusiana na research pia,hivyo nawaomba ndugu zangu basi twendelee kushirikiana katika maombi na kuniombea kwa baba mwenyezi Muumba wa mbingu na dunia niweze kudefend vizuri. SALA ZENU NI MUHIMU SANA KUFANIKISHA SWALA HILI.

YANGA YASHEREHEKEA UBINGWA KWA KUMNYOA MTANI WAKE

Image
Nahodha wa Yanga, Nidir Haroub   'Canavaro' akiwa amenyanyua kombe la Ubingwa wa  Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara pamoja na wachezaji wenzake. Beki wa Simba, Musa Mudde (kushoto) akichuana na mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo. Kikosi cha Simba. Makocha wa yanga wakipanga mikakati ya Ushindi. Timu zikiingia uwanjani. Beki wa Simba, Shomari Kapombe akimtoka mshambuliji wa Yanga, Simon Msuva Msanii Juma Nature akitumbuiza wakati wa mchezo huo. Mashabiki wa Yanga . Raha ya ushindi. Kocha wa Yanga, Ernst Brandts akiwa amebebwa na wachezaji wake. Mashabiki wa Yanga. Kipa wa Simba, Juma Kaseja akijaribu bila mafanikio kuokoa mpira wa kichwa  uliopigwa na mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu katika mchezo wa kufunga  pazia la Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofan

WALE WAPENZI WA MOVIE HIZI ZINAKUHUSU MWAKA HUU

Image
GI JOE 2 Retaliation Trailer 2 - 2013 Movie  The Wolverine Trailer 2013 Official - Hugh Jackman Movie [HD]  After Earth Trailer #2 2013 Will Smith Movie - Official [HD] Gallowwalkers Official Trailer #1 (2013) - Wesley Snipes Zombie Movie HD  Reincarnated Official Trailer #1 (2013) - Snoop Lion Documentary HD  The Frankenstein Theory Official Trailer #1 (2013) - Timothy V. Murphy Thrille

KILIO KUANGUKIA JANGWANI AU MSIMBAZI?

Image
Leo ndio leo uwanja wa Taifa wakati miamba miwili ya soka nchini, Yanga na Simba watakapoufunga rasmi msimu wa ligi kuu Tanzania Bara. Yanga ambao tayari wametawazwa kuwa mabingwa wataingia uwanjani huku wakiwa tayari wanajiandaa kwa sherehe rasmi za kukabidhiwa kombe wakati watani wao wa jadi Simba waliovuliwa ubingwa huo watakuwa wakitaka kulinda heshima yao. Katika mchezo uliozikutanisha timu hizi mbili katika mchezo wa kufunga pazia la ligi kuu, Simba ambao walikuwa tayari wametangaza ubingwa walitoa kipigo kikali cha 5-0. Je unadhani Yanga watalipiza kisasi? Msiba leo utakuwa wapi, Jangwani au Msimbazi

KATUNI YA LEO INAUKWELI NDANI YAKE?

Image

BUJORA MAKUMBUSHO YA WATU KABILA LA WASUKUMA SASA YATIMIZA MIAKA 100

Image
picha kwa hisani ya gsengo.blogspot.com Hili ni eno ambalo akina mama wa kisukuma walikuwa wakilitumia kama nyenzo ya kusagia nafaka ili kupata unga au kukobolea nafaka, eneo hili limehifadhiwa yapata miaka 100 sasa. Ufugaji wa kale kwa himaya za watemi. Ngoma za asili zilizotumiwa na wanasanaa wa kabila la Wasukuma katika koo mbalimbali ngoma hizi zimehifadhiwa yapata miaka 100 sasa.

JE UMESHAONA TOLEO JIPYA LA SIMU AINA YA iPHONE 6 ITAKAVYOKUWA?HII HAPA

Image
Siku za hivi karibuni kumeweza kuvujishwa kwa baadhi ya picha mitandao ikionesha matengenezo na muonekano halisi wa simu mpya za iPhone 6 hasa baada ya kutoka kwa iphone 5s,, Kwa fununu za chinichini inasemekana kwamba simu hii itazinduliwa rasmi mwakani 2014. mpaka sasa wataalamu mbalimbali wanachora michoro yao binafsi kubuni jinsi APPLE watakavyotengeneza iPHONE6.. inasemekana inaweza ikawa ninyembamba zaidi,yenye uwezo mkubwa wakupiga picha,isiyoingia maji,yenye kuonesha upande wa pili wa simu,isiyokuwa na button hata mmoja zaidi ya zile za kugusa kwenye screen,itakuwa imara sana, labda wataweka button za kuslide kwachini kabisa kuwezesha watumiaji wake kuweza kucheza games vizuri, tizama baadhi ya picha

HIVI NDO ILIVYOKUWA KATIKA USIKU WA SUPER BRAND PROGRAM YA PUBLIC RELATIONS AND MARKETING

Image
Usiku wa kuamkia leo imefanyika sherehe ya ushindi wa timu ya PR3 katika ukumbi wa Passion uliopo eneo la Nyegezi stend. Sherehe hii ilikuwa na dhumuni kuu ya kufurahia zawadi uliyopatikana mwaka jana katika shindano la mpira wa miguu maarufu kama FAWASCO.Sherehe hii ilikuwa nzuri sana kwani iliambatana na ushindi wa kuingia fainali katika mashindano haya ya FAWASCO kwa mwaka huu.Sherehe hii iliwakutanisha wanafunzi wote wa mwaka wa tatu wanaosomea shahada ya Mawasiliano ya umma na masoko hizi ni baadhi ya picha zilizochukulia wakati wa sherehe lakini kuna picha nyingi ambazo hazijawekwa kwa kuwa memory card niliyokuwa naitumia imekorofisha mzigo kutoshushwa wote hapa.