Posts

ALI KIBA MAKE IT HAPPEN........

Image
Kama wewe ni Mtanzania mpenda maendeleo hasa ya muziki wetu huna budi kumpongeza Ali Kiba kwa hatua aliyofikia na mafanikio yake kwa kuwa mmoja kati ya wasanii 8 toka Afrika walio-sign mkataba mnono sana. Hapo kati ni 2face , Kiba mwenyewe na JK wakiwa moja ya mitaa ya Chicago U.S.A Hapa ni ma-star wanaounda kundi la ONE8 wakiwa Studio waki-record ngoma yao pande za Chicago........ ONE8 ni kundi linalojumlisha ma-star 8 across Africa akiwemo Ali Kiba kutoka hapa kwetu Tanzania , Navio- Uganda , Aman - Kenya, 2face - Nigeria na wengine..................... Me nakutakia mafanikio mema ndugu. Tuwakilishe Watanzania na Muziki wetu the source of this info is from www.arniegizzle.blogspot.com

NGUVU YA UMMA NOMA,MBUNGE MTEULE WA MUSOMA MJI NI

Image
picha mbalimbali za Mbunge mteule wa jimbo la Musoma Mjini katika harakati zake za kampeni na hatimaye mambo yamekamilika leo asubuhi baada ya kutangazwa rasmi kuwa mshindi wa jimbo hilo kupitia chama chake cha CHADEMA

WELCOME TO THE OFFICIAL LAUNCHING OF THE NEW BAND

Image
WELCOME TO THE OFFICIAL LAUNCHING OF THE NEW BAND WITH MANY KIND OF MUSIC VIBES(THE M BAND) AT MZALENDO PUB MILLENNIUM TOWERS , FEATURING GRACE MATATA, BEN POL & MALFRED, FROM 8 pm TILL DAWN. DON'T THINK, KNOW THE BEST.

MAMBO NDANI YA ZENJ

Image
WAKATI MATOKEO YAKIENDELEA KUWASILI:CUF WAVAMIA OFISI ZA ZEC ASUBUHI HII KUTAKA SEIF SHARIFF HAMAD ATANGAZWE MSHINDI ZANZIBAR Wafuasi wa CUF wakiwa kwenye Ofisi za Tume ya Uchaguzi zanzibar (ZEC) kushinikiza mgombea wa chama hicho Maalim Seif Shariff Hamad atangazwe kuwa mshindi. -------------------- MATOKEO YA AWALI URAIS ZANZIBAR TUME ya uchaguzi Zanzibar imetangaza matokeo ya awali ya nafasi ya Urais wa Zanzibar kwa majimbo 15 ya Unguja na mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha mapinduzi CCM DK ALI MOHAMED SHEIN ameonekana kung,aa zaidi kwa ushindi wa majimbo mengi kisiwani Humo. Akisoma matokeo hayo mbele ya waandishi wa habari,waalikwa,waangalizi wa uchaguzi na wananchi katika ukumbi wa matangazo ya matokeo huko katika hoteli ya Bwawani mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar - ZEC - KHATIB MWINYICHANDE amesema FUONI Waliojiandikisha 10884 Waliopiga kura 9367 %86.1 Kura halali 9201 %98.2 Zilizoharibika 166 %1.8 DK SHEIN CCM 6351 %69.0 Maalim Seif CUF 2777 %30.2

BREKING NEWZ SUPER COACH MZIRAY KATUTOKA

Image
Marehemu Syllesai HABARI ZINASEMA SUPER COACH SYLVESTER SAID MZIRAY AMEFARIKI DUNIA ALFAJIRI YA LEO KATIKA HOSPITALI YA AGA KHAN JIJINI DAR ALIKOKUWA AMELAZWA AKISUMBULIWA N MALARIA. HABARI ZA MIPANGO YA MAZISHI ZITAFUATA MARA TU BAADA YA KUPATIKANA. COACH MZIRAY , ALIYEKUWA MWAJIRIWA WA CHUO KIKUU HURIA KAMA MHADHIRI, ATAKUMBUKWA KWA UMAHIRI KATIKA UFUNDISHAJI SOKA KATIKA VILABU MBALIMBALI HADI TIMU YA TAIFA ILIYOSHINDA UBINGWA WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI. ALIFUNDISHA PIA PILSNER, SIMBA, YANGA, PAN AFRICAN NA KABLA YA MAUTI KUMKUTA ALIKUWA MWALIMU WA VIUNGO NA SAIKOLOJIA WA KLABU YA SIMBA. GLOBU YA JAMII INAUNGANA NA WATANZANIA WOTE KUOMBOLEZA MSIBA HUU MZITO AMBAO NI PIGO KWA TASNIA YA MICHEZO NCHINI UKIZINGATIA TUNA MAKOCHA WACHACHE WALIOSOMEA FANI HIYO NA KUBOBEA. MOLA AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI - AMIN

AY NA SEAN KINGSTON NDANI YA COLLABLE

Image
Ambwene Yesaya (AY) kwa wakati huu yupo mjini Mombasa akisubiri kupiga Show katika maadhimisho ya Siku ya Mashujaa wa Nchini Kenya, lakini Ishu nayotaka kuzungumzia hapa ni kuhusiana na Collabo waliypanga Kupiga A.Y na Msanii wa Kimataifa Sean Kingston, Kama unakumbuka A.Y aliwahi kusema miezi ya Kumi au Kumi na moja atachomoka kuelekea Katika jiji la Miami nchini marekani, Kukutana na Sean Kingston, So Gwafara Gwafara ilimvutia wire, ili kujua Safari hiyo ipo ama ni Magumashi. A.Y: Baada ya kutoka huku Mombasa Safari inayofuata ni ya kwenda Miami nchini Marekani, na tayari nimesha rekodi ngoma tatu, ambazo nitakwenda kumskilizisha Kingston so yeye atachagua ipi ambayo ipo mzuka kwake kutupia Vocal, lakini pia niko tayari kukaa nae chini kutunga Idea mpya ya wimbo kama hizi hazitomvutia. 255: Umesema umefanya Ngoma, Je Ngoma hizo umepigia Studio gani, na kuna msanii yeyote kutoka Bongo au Afrika Mashariki uliyemshirikisha kwenye Hizo ngoma? A.Y: Ngoma hizo nimepiga chini ya Mtu mzima P

SITOMWACHA LYRICS BY STEVE R&B RAET NGWEA

Verse 1: Steve r*b nakuhitaji we baby sina raha ukiwa mbali na mimi crazy yeah! nakuhitaji milele njoo tujipange wote milele unipe malavidaviyazidi kilele yeah! showty you drive me crazy yeah showty you drive me crazy eeeeeh Pre chorus ukinibania ntaumia, utanifanya daily nalia nalia baby sitovumilia vumila kwani moyo umekuchagua chagua weweX 2 Chorus sitomwacha sitomwacha huyu mtoto mzuri nikimpata ananipagawisha pagawisha anavyowaka uzuri wake kama taa showty nikibalieee showty niwe nawee X 2 Verse 2: Ngwea yeah , cowbama na east zoo yooh, holla! nizaidi ya zay b jinsi alivyo gado huyu baby figure yake roll modal aah anajiheshim anaheshimika kila angle hakuna nachofeel kwake zaidi ya mapendo sina mkataba nae bali nna malengo anajua kuhandle (ahaaaa) hana skendo body yake inakubali kila style ya pamba clssic million dolla smile anauchanganya ubongo wangu ka bacteria siku nisipo muona i feel sick, like malaria sio mi wakwanza , nilianza toka enzi wengi wamechanganyikiwa na mapenzi she

T.I. Sentenced To 11 Months In Prison

Image
A federal judge sentenced T.I. to 11 months in prison Friday (October 15) during a probation hearing, where the rapper was found to have violated the terms of his supervised release, according to the Atlanta Journal-Constitution.The prosecution sought to send T.I. (real name: Clifford Harris) back to prison for two years, The Associated Press reported. But the rapper pleaded with the judge to lessen his punishment and instead help him with his drug dependency, according to AP.Last month in Los Angeles, the rapper was arrested after a traffic stop, when police discovered drugs on him and his wife, Tameka "Tiny" Cottle. The incident prompted Friday's hearing. According to police documents obtained by several media outlets leading up to the hearing, at the time of his arrest, the rapper tested positive for opiates, was in possession of Ecstasy, and was also associating with a felon, who was present in his vehicle during the bust. T.I. was released from a halfw

SAMAHANI

Kwa wale wapenzi wa blog hii kidogo nilikuwa na Matatizo ya msiba pia kwa sasa niko kishule zaidi so kidogo hii kitu naona kama naipa muda mchache kidogo kwa sababu muda mwingi nakuwa shuleni,si unajua kuongeza elimu kidogo.....but tuko pamoja wapenzi wote wa blog hii.

VICHWA VINNE VIKALI NDANI YA UKISIKIA PAAA.

Image
Unajua nini hawa jamaa ni noma sana katika suala la Hip Hop ebu chungulia hapa chini then utaniambia nini kinaendelea katika Industry hii........... Lyrics za Ukisikia PAAA, Intro ahhh...ahhhh ohhh yeahhh..(shhhh!).. it's the remix (shhhh!)...JCB....(ahhhh!).....Murder..! (Tongwe Records Babyyyy) Verse 1 (JCB) Damu ilitapakaa baada ya ule mlio kulia PAAA, Watu wote walisambaa hata walevi wa kwenye bar, Sio polisi sio baunsa iliye kaa utashanga kwa nini mshkaji alizidi kumimina kwa kujiamini, Amini usiamini akabaki tu na mimi, Akanishikia bunduki kwa chini, Akadai eti nimpe madini lasivyo ananipiga risasi kama sabini, Anasura kama idi amini akarudi karibu atua tatu mpaka kabatini, Akatamka HEYOO! nipo kazini nimetumwa mzigo au ujithamini, Akanikanyaga kwa chini kikorofi bunduki tena akaikoki Akasema kama simuonyeshi leo sio koki,jinsi alivyo akilenge ye akosi mikosi, Kavaa koti jeusi jasusi, Mikono nikaweka juu kuepuka nukx huku natukana mengi matusi... Chorus X2 Ukisikia PAAAA...uj

UZOEFU BY SALUT VIDEO IS OUT CHECK IT

check out this video of One-Incredible

DOWNLOAD A NEW ALBUM OF LIL WAYNE

Image
Lil’ Wayne – I Am Not A Human Being This album is HOT click this link below to download it. http://www.blogger.com/www.dopenewsongs.com

Familia ya Mpangala yampongeza Vodacom Miss Tanzania 2010

Image
Familia ya Emmanuel Mpangala ikiwa katika picha ya pamoja wakati wa tafrija ya kumpongeza Binti yao Genevieve aliyeshinda taji la Vodacom Miss Tanzania 2010.Kushoto ni Dunstan na mziwanda Brian. Dua ya kuanza kwa tafrija ikisomwa na babu.... Wazazi wa Miss Tanzania wakiwa na binti yao. Kamati ya Miss Tanzania nayo haipo mbali... Burudani ya mziki ikiendelea kutoka kwa ... . Kalunde Band na hapa Deo Mwanambilimbi akifanya vitu. Kocha wa Yanga Papic na Rais Mstaafu wa Klabu ya Yanga Imani Madega wapo... Wadau wa TMK wakiongzwa na Ben Kisaka wapo. Mambo flani ya sherehe yalikuwa kama hivi Somoe aliongoza msafara huu. Miss Tanzania wa zamani (2009) nae huyo anapakua chake... Mdogo wa Vodacom Miss Tanzania akishusha stata yake. picha na habari ni kutoka wa father kidevu.

MATONYA & NONINI LIVE IN LONDON

Image
•★•★•★BONGOUK PRESENT EAST AFRICAN SHOW DOWN 2010•★•★★• @ TEREZA JOANNE BOAT KING GEORGE V DOCK E16 2QY London, United Kingdom •★•★•★•BONGOUK ENTERTAINMENT ARE TAKING ENTERTAINMENT TO NEW HEIGHTS WITH THE VERY BEST ENTERTAINERS, THE GODFATHER OF GENGE NONINI AND THE BONGO FLAVA KING MATONYA★•★•★•★ ★•★•★•★ PERFORMING LIVE ON THE SAME STAGE FOR THE FIRST TIME EVER IN THE UK "THE EAST AFRICAN SHOW DOWN"★•★•★•★ *********************************************** •★•★•NONINI WILL PUT THIS PARTY ON FIRE BY PERFORMING HIS HITS LIKE NEVER B4........... ★•★•★•★GENGE LOVE, KADHAA, MANZI WA NAIROBI, FURAHIDAY ETC.. *********************************************** ★•★•MATONYA WILL BE PERFORMING HIS HITS LIKE ★•★•★•★ANITA, VAILET, TAXI BUBU, SPAIR TIRE, SIAMINI ETC EARLY BIRD TICKET AVAILABLE FOR ONLY £10 £15@THE DOOR B4 MIDNITE / MORE AFT ▀▀▀▀▀ ►FROM 9PM TILL 4AM

Vodacom yatoa ofa ya internet Bure

Kampuni ya Simu za Mkononi ya VodaCom Tanzania, imezindua huduma mpya ya intaneti ambayo itawawezesha wateja wake kulonga (chat)kwa intaneti bure. Mkurugenzi wa Uhusiano wa VodaCom Tanzania, Mwamvita Makamba amesema kuwa wateja wa VodaCom sasa wanaweza kuwasiliana zaidi kwa kulonga bure kwenye tovuti za FaceBook, TheGrid na VodaMail. Huduma hiyo itapatikana kwa simu za mkononi na pia kwa Laptop zilizounganishwa na USB Moderm. “Tunapenda wateja wetu watumie mtandao wetu kwa kuwasiliana bure na hivyo kukata kiu yao ya mawasiliano”. Alifafanua kwamba hayo yote yatawezekana kwa kutumia mtandao wa 3G ambao una kasi na nguvu kubwa.

MSECHU KUWAKILISHA TUSKER PROJECT FAME

Image
Peter Msechu Mshiriki Peter Msechu amekuwa mmoja kati ya washiriki watano kutoka Tanzania waliochaguliwa kuingia katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya kupata mkataba katika shindano la kusaka vipaji vya muziki katika ukanda wa Afrika Masahariki Tusker Project Fame kwa mwaka 2010

tigo yaichangia ccrbt kuendeleza huduma bure.

Image
Jumla ya watoto 160 watapatiwa huduma ya upasuaji wa macho katika kliniki maalum ya huduma hiyo zitakazoendeshwa na Shirika lisilo la Kiserikali la CCBRT kwa siku 11, kuanzia Novemba 8 - 19, 2010 katika hospitali ya Sekou Toure mjini Mwanza. Shughuli hizo zitakuwa zinafanyika mara mbili kwa mwaka ambapo zoezi la pili linatarajiwa kufanyika Julai mwakani. Tigo pia itafadhili mafunzo ya wiki mbili ya kozi ya huduma za uzazi (BEmONC) kwa wakunga 10. Mkurugenzi Msaidizi wa CCBRT bi. Haika Mawala alisema kuwa 80% ya upofu unaweza kutibiwa au kuzuiwa na ni muhimu kuwafikia watoto wengi waliozaliwa na mtoto wa jicho nchini Tanzania. "Ninafurahi kuwa tiGO inatambua kazi ya kubadilisha maisha ambayo CCBRT inafanya katika jamii hapa jijini Dar na kwingineko," alisema Haika na kuongeza, kupitia ushirika huo muhimu sana mkoani Mwanza, watoto wapatao 160 ambao wangepata upofu watapata kuona na hivyo kuweza kuishi maisha mema zaidi. Mkuu wa kitengo cha Udhibiti wa Mawasiliano ya Mambo ya

MSANII WA KIZAZI KIPYA CHANGAMKIA OFFER HII

Image
KWA WALE WASANII WACHANGA AMBAO WANAJIONA WANAKIPAJI LAKINI WAMESHINDWA KUTOKA,SASA DAWA YAO IMEPATIKANA KUTOKA KWA PRODUCER WA UKWELI ASIYEKUWA NA LONGOLONGO DUKE TACHEZ,AMBAYE AMEWEZA KUTENGENEZA NGOMA KIBAO KAMA I'M PROFFESION YA FID Q,PLAY BOY YA NIKKI MBISHI,INCREDIBLE YA ONE NA NYINGINE KIBAO,NAFASI IMEPATIKANA SASA CHANGAMKIENI OFA HII........ STUDIO HII YA MUSIC LAB( M-LAB) IKO ENEO LA KINONDONI KARIBU NA UWANJA WA BIAFRA KWA MAWASILIANO ZAIDI MTUMIE EMAIL duketachez@hotmail.com AU PIGA SIMU NO 0714 884342

WEEKEND NDO HIYO.....BURUDANI ZAIDI

Image

Joseph Mbilinyi na harakati zake za Ubunge Mbeya mjini

Image
Hapa Msafara wa Joseph Mbilinyi ukipita katika jiji la Mbeya mjini Hapa akinadiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mbeya Wananchi wakipunga mkono kudhiirisha kumkubali Sugu kuwa Mbunge wao Makamanda wa CHADEMA wakiweka njia kwa ajili ya Sugu kupita Moja ya Gari linatumika kwa PA katika kampeni za Sugu Hapa Mgombea Ubunge Joseph Mbilinyi akiwasalimu wakazi wa kitongoji cha Mabatini-Mbeya Mjini Sugu akifika eneo la mabatini Umati wa watu waliofika kumsikiliza sugu Mmoja wa Kamanda wa CHADEMA akiongea na wananchi Bwana Joseph Mbilinyi akiongea na wananchi wa Mabatini

DK SLAA ATIKISA MJI WA MUSOMA LEO:

Image
MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk Wilbroad Slaa leo amehutubia mamia ya wakazi wa manispaa ya Musoma katika uwanja wa shule ya Msingi Mukendo huku akipeleka shutuma nyingi kwa aliyekuwa spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzanzania Samweli Sitta. Dk Slaa aliwasili majira ya saa nane na nusu katika uwanja huo na helkopta akitokea wilayani Rorya akikuta mamia ya wakazi wa mji huo wakiwa tayari wamefika kumsikiliza,wakielezea mambo mbalimbali viongozi wa Chaema walisema kuwa muda umefika kwa utawala wa Chama cha Mapinduiz kufika kikomo. Akionyesha kuongea kwa kutoa takwimu mgombea huyo alisema kuwa kwa sasa Chama cha mapinduzi hakifanyi uchaguzi wa chama kwa chama bali ni uchaguzi kati ya Makini na tajiri huku akisema kama wananchi wataamua hakuna kinachoshindikana katika nguvu ya umma. Akionge