PICHA KALI 10 ZA WASANII WA BONGO #THROWBACKTHURSDAY AKA #TBT, TAFADHALI CHEKA TARATIBU
Kama ilivyo kawaida leo ni siku ya Alhamis ambapo kupitia mtandao wa Instagram kuna utaratibu wa watumiaji wake kutuma picha zile za kitambo au enzi hizo. Picha hizi zimekuwa za kuvutia kwani zinaonyesha hasa watu wanapotokea ukilinganisha kwa sasa walipo katika zile hatua za ukuaji na utafutaji wa maisha. Nimekukusanyia baadhi ya picha za wasanii maarufu hapa bongo land, ambao utawaona wasanii kama Fid Q, Ferooz, Sugu, Baba Levo,Dudu baya, Juma nature, D nob, MwanaFA, AY, TID the late Langa, Ali Kiba, Diamond Platnumz, Queen Darlin, Joho Makini, Nikki wa pili. kwenye picha hii anaonekana Fid Q, Erick Shigongo,D nob Ali Kiba pamoja na Diamond Platnumz AY MwanaFA MwanaFA katika pozi Dudu Baya Juma Nature, Ferooz, Baba levo kwa mbali TID, RAY C NA Q-CHILLA The late Langa, TID Diamond Plaatnumz akiwa na dada yake Queen Darlin Joho Makini mwenye Kofia na Nikki wa pili wakiwa na mama yao mzazi.