SAMAHANI KWA USUMBUFU UTAKAO JITOKEZA


Samahani sana wapenzi wa Blog hii,napenda kuwafahamisha kuwa hakutakuwa na taarifa nyingi za mara kwa mara  kama mlivyozoea kwani nitakuwa katika kipindi cha Mitihani ya kumaliza semister ya 1 ambayo itaanza Jumatatu tarehe 28/01/2013 mpaka tarehe 8/02/2013 hivyo nitakuwa busy na Mitihani hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA