MAJALIWA AHUDHURIA IBADA YA KUMUINGIZA KAZINI MKUU WA KKKT ASKOFU SHOO MJINI MOSHI

1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye na mkewe Esther katika Ibada ya kumuingiza   kazini Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Askofu Frederick Shoo iliyofanyika kwenye kanisa kuu la KKKT mjini Moshi Januari 31, 2016.
2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo  (kulia) na Mkuu wa Kanisa hilo mstaafu, Askofu Alex Malasusa katika  Ibada ya kumuingiza  kazini Askofu Shoo iliyofanyika kwenye kanisa kuu la KKKT mjini Moshi januari 31, 2016.
(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA