Geneviev Emanuel miss tanzania 2010


Geneviev Emanuel akikabidhiwa rasmi usiku wa kuamkia leo gari yake aina ya Hyundai i10 lenye thamani ya shilingi milioni 12 pamoja na kitita cha shilingi Mil 10.watoa burudani walikuwa ni Mh Temba na Chege kutoka TMK Family, Ambwene Yessaya (AY) Mataluma, Mwasiti na kundi la THT.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA