REDDS FASHION SHOW


Meneja wa kinywaji cha Redds kinachozalishwa na kampuni ya (TBL) Kabula Nshimo akikaribisha wageni mbalimbali walioalikwa katika onesho hilo lililoandaliwa na kampuni hiyo kama wadhamini wenza wa Vodacom Miss Tanzania linalofanyika kwenye ufukwe wa Mbalamwezi usiku huu, Shindano la Vodacom Miss Tanzania limepangwa kufanyika Septemba 11 mwaka huu jijini Dar es salaam.
Mrembo Geneviva Emmanuel akipita na kivazi cha Redds wakati wa onesho la Redds fashion Show lililofanyika kwenye ufukwe wa Mbalamwezi usiku wa jana likishirikisha warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania ambalo linatarajiwa kufanyika Septemba 11 jijini Dar es salaam.
Warembo kutoka kanda ya Temeke wakipita na kivazi cha Redds.
Warembo kutoka kanda ya kati ya wakipita na kivazo cha Redds.
Warembo kutoka kanda ya Ilala wakipita jukwaani na kivazi cha Redds.
Mashabiki mbalimbali wapo wakishuhudia onesho la Redds Fashion Show kwenye ufukwe wa Mbalamwezi.
Mrembo anayemaliza muda wake Miriam Gerald wa pili kutoka kulia pamoja na warembo wengineo waliohudhulia katika onesho hilo.
Kutoka kushoto ni wabunifu Alli Remtulah, Farha na Kemmy nao walikuwepo katika onesho hilo.
|Kutoka kulia Hashim Lundenga , Kalikumtima na kutoka kushoto ni Elihuruma Ngowi na Sebo pamoja na rafiki yao.
Kutoka kulia ni wadau Crala, Matina,Kalikumtima, MKaurus, Karito na kutoka kushoto ni Orvin na Abdul Kaude pamoja na rafiki yao wakijimwaga katika Redds Fashion show
habari hii ni kwa hisani ya www.fullshangwe.blogspot.com

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA