TIGO KUJENGA MINARA 8 MUSOMA VIJIJINI NA SERENGETI


Kampuni ya simu ya Tigo inajiandaa kuanza ujenzi wa minara 8 itakayojengwa maeneo mbalimbali ya Musoma vijijini maeneo ya Suguti,Makojo,na Saragana kwa upande wa Serengeti ni maeneo ya Ngoreme,Isenye na Nyichoka hayo yamesemwa na Mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo , Dallon Kango dhumuni kubwa la kujenga minara hiyo ni kusogeza huduma zao katika maeneo hayo ,aliendelea kusema kuwa "tumeamua kujenga minara hiyo kwa sababu kwa muda mrefu sasa watu wa maeneo haya wamekuwa wakiangaika kupata huduma zetu ambazo ni nafuu sana hapa nchini ukilinganisha na mitandao mingine ya simu.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA