Aliyenusurika Katika Ajali ya MV Bukoba Atunga Kitabu Kuhusu Kitukio Hilo.


Mmoja wa wahanga waliokoka katika ajali ya Mv Bukoba iliyotokea Mei 21 siku ya Jumanne mwaka 1996 Nyaisa Simango ambaye kwa sasa ni Afisa Ugavi wa Benki Kuu ya Tanzania akionyesha kitabu alichotunga baada ya kunusurika katika ajali hiyo iliyouwa watu 800. Nyaisa kipindi hicho alikuwa mwajiriwa wa jeshi la Magereza kituo cha Ukonga jijini Dar es Salaam, wakati tukio linatokea alikuwa amempeleka mfungwa mkoani Kagera, kitabu hicho alichozindua kina kurasa 167, kikiwa na kichwa cha habari kisemacho SITASAHAU MV BUKOBA. Kulia ni Afisa habari mwandamizi wa Habari Maelezo Mwirabi Sise pia ni Mjomba wa Nyaisa kitabu kinapatikana katika bookshop mbali mbali hapa nchini kwa shilingi 12,000.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA