ongezeko la maambukizi mapya ya ukimwi kisiwa cha Rukuba yazidi kushika kasi

Kisiwa kilichopo katika ziwa victoria mkoani Mara katika wilaya ya Musoma vijijini cha zidi kupamba moto katika maambukizi mapya yanayozidi kusambaa kwa wakazi wake ambao asilimia 90 ni wavuvi .Katika taarifa niliyoipata leo katika kituo kimoja cha radio ni kuwa wanakijiji wengi wa eneo hilo wanazidi kuteketea kwa gonjwa hili hatari kwa sababu ya kukosa elimu ya kutosha juu ya gonjwa hili sababu hii ilitolewa na tabibu mkuu wa zahanati iliyopo katika kisiwa hicho.Hatua kubwa inatakiwa kuchukuliwa zaidi na Mashirika mbalimbali yanayojihusisha na kutoa elimu ya Ukimwi.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA