HUYU NDIE MENEJA MPYA ANAYETARAJIWA KUKINOA KIKOSI CHA MANCHESTER UNITED

Louis van Gaal has started his World Cup preparations with Holland
 
Louis van Gaal, mwenye miaka 62 anatarajiwa kutangazwa kuwa meneja mpya wa timu ya Manchester United katika msimu ujao, habari hii imerepotiwa na mtandao wa theguardian  kocha huyu kwa sasa yuko katika maandalizi ya kombe la dunia akikinoa kikosi cha Uholanzi.
 
Mtandao huo wa theguardian umeendelea kwa kusema kuwa  "Manchester United have delayed naming Louis van Gaal as their manager but are expected to do so next week. The club want to wait until the season ends on Sunday before making an official announcement about David Moyes' successor"
 
Kocha Louis van Gaal amekuwa na historia nzuri ya kufundisha timu kubwa kama Ajax, Barcelona, AZ na Bayern Munich
 
 

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA