Man City Mabingwa EPL


Mabingwa wa England: Wachezaji wa Manchester City wakisherehekea na taji la ubingwa wa Ligi Kuu ya England, ambalo ni la pili ndani ya misimu mitatu baada ya kuifunga West Ham mabao 2-0 Uwanja wa Etihad jana.
Jubilation: Vincent Kompany lifts the Premier League trophy to mark the end of a magnificent season for City
Vincent Kompany akiwa amelinyanyua kombe huku wachezaji wenzake wakishangilia
Airborne: The players grab hold of Manuel Pellegrini to throw him in the air
wachezaji wa man city wakiwa wamemnyanyua kocha wao wakisherekea ubingwa huo
Words of thanks: This City supporter showed his appreciation to Liverpool captain Steven Gerrard for slipping against Chelsea and allowing Demba Ba to score a vital goal
Hawa ni mashabiki wa Man city wakisherekea ubingwa wao.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA