WATEJA WAWILI WA COCA COLA KUTOKA KANDA YA ZIWA WASHINDA TIKETI YA KWENDA KUSHUHUDIA KOMBE LA DUNIA NCHINI BRAZIL

Mkurugenzi wa Nyanza Bottling Co. Ltd Mwita Gachuma Christopher Mwito Gachuma akizungumza na mashuhuda waliohudhuria makabidhiano ya zawadi kwa washindi wa Kunywa, Kusanya na Ushinde.
Anthonia Zacharia akipoa zawadi yake mara baada ya kujishindia.
Omary Shahban akikabidhiwa TV.BAPA NCHI 32 na Mkuu wa mauzo Kampuni ya vinywaji baridi ya Nyanza Bottling Co. Ltd Japhet Kisusi. 
Richard China china akikabidhiwa TV NCHI 32 na Bw. R. K. Bala. .
Ni Bi. Enelyne Aloyce akikabidhiwa TV NCHI 32 na Bw. R. K. Bala.
Sebastina Ndize (R) akikabidhiwa zawadi ya Coffee Table.
Wanahabari kikazi zaidi.
Picha ya pamoja washindi wa Coffee Table.
Washindi wa TIKETI ya kwenda BRAZIL, Saimon Charles (L) na Mohamed Kessy (R).
Katika picha ya pamoja ni washindi wa TV NCHI 32.
SOURCE: gsengo

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA