P.DIDDY ATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMIVU (PhD)

Kupitia mtandao wa instagram na twitter, mfanyabiashara na msanii wa kwanza wa hip hop  mwenye mkwanja mrefu wa dola million $700 nchini Marekani kupitia orodha iliyotolewa na  gazeti la Forbes, Sean Combs kwa sasa muite Dr.Combs aka P.diddy mwazilishi wa Bad Boy Records ametupia picha mbalimbali zikionyesha kutunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD),kutoka katika chuo kikuu cha Howard University kilichopo Washington D.C- Marekani.

Diddy alishawahi kusoma katika chuo hiki kwa muda wa miaka miwili na baadaya kuamua kuacha chuo 1990 na kwenda kujiendeleza na maswala ya kimziki ambapo ndipo umaarufu wake ulipofahamika zaidi mpaka leo hii dunia kuweza kumfahamu.

P.didy mwenye miaka 44 kwa sasa alitoa speech kwa niaba ya wanafunzi wenzake iliyokuwa na mvuto kwa kuwahasa wanafunzi waliokuwa wamehudhuria mahafari pamoja na watu wengine waliohudhuria kwamba wao ni "viumbe wa maajabu ambao ndio wanaitengeza kesho wanayoitaka". lakini pia alisisitiza kwamba: 'Howard University didn't just change my life - it entered my soul, my heart, my being and my spirit.'

SOMO: Pamoja na kuwa msanii mwenye mafanikio makubwa hasa kifedha lakini bado swala la elimu bado limekuwa na umuhimu kwake, mfano huu ni wa kuigwa kwa wasanii wetu wa hapa Tanzania kutolipa swala la elimu kipaumbele na kuona halina umuhimu baada ya kuanza kushika millioni kadhaa.

Great honour! P. Diddy was awarded an honorary doctorate in humanities from Howard University in Washington D.C. on Saturday
P. Diddy akiwa amevaa gauni la mahafari na medali ya heshima kutoka chuo kikuu cha Howard Washington D.C.

Looking the part: He wore the traditional tasselled cap and gown for the momentous day
Great to be back! The rapper, also known as Puff Daddy, studied business at the university for two years before dropping out in 1990 to further his career in music
So proud! Diddy poses next to his certificate with Mary J. Blige at Howard University

 Diddy akiwa amepose Mary J. Blige at Howard University
Great milestone! The 44-year-old star was asked to give a commencement speech for students and classmates, who gave him a standing ovation
Music and business mogul! Diddy's fortune was earned through multiple businesses, including music, the Sean John clothing line, his Ciroc brand vodka and a new cable channel called Revolt TV

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA