BENKI YA CRDB YAVUTIA WENGI MAONESHO YA SABASABA

Wateja wa Benki ya CRDB wakipata huduma za Fedha katika Mobile Branch katika maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba Barabara ya Kilwa.
Gari aina ya Passo ambayo itakabidhiwa kwa mshindi wa mwezi Juni katika viwanja vya Sabasaba.
Ofisa wa Benki ya CRDB, David John akitoa ufafanuzi kuhusu Huduma ya Simbanking kwa mteja aliyefika katika banda la CRDB katika maonyesho ya Sabasaba.
Mteja akipata huduma katika banda la CRDB.
Mteja akiweka sahihi baada ya kufungua akaunti. 
Ofisa Mauzo wa Benki ya CRDB, Pamela Haule akitoa huduma kwa Hawa Hashimu ambaye aliyefika kufungua akaunti katika Viwanja vya Sabasaba.
Ofisa Mauzo wa Benki ya CRDB, Pamela Haule akitoa huduma kwa wateja waliofika katika banda la benki ya CRDB.
Ofisa wa Benki ya CRDB, John Titus (katikati) akimuhudumia mteja wa benki hiyo aliyefika katika banda la benki hiyo, Gerald Stanslaus katika maonyesho ya Sabasaba.
Wateja wakipata huduma katiba banda la CRDB.
Mteja akiweka Passworld baada ya kufungua akaunti. 
Wateja wakipa huduma katika Mobile Branch.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA