Mvua inanyesha, wao wapo tu wamsikiliza Dkt. Slaa

  Ama kwa hakika siasa ni zaidi ya itikadi na ufuasi, kwa wengine ni sawa na dini kabisa.


Kweli siasa sasa imewakolea baadhi ya Watanzania kiasi kwamba sasa wanataka kusikia kwa masikio yao wenyewe si kuambiwa, na kushuhudia kwa macho yao wenyewe na siyo kuhadithiwa liwake jua, inye mvua, wamedhamiria!


Sasa jama isiwe sababu, kila chama kitake kwenda kuhutubia mvua itakaponyesha, maana watu kwa sayansi iliyozidi maarifa hawakawii kuitisha mvua ili mkutano wao nao uwe na picha zenye matone matone ya mvua, LOL, taratibu jama.




Picha zinazoonekana hapo zimetoka kwenye blogu ya  Mbeya Yetu.
Picture

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA