SHANNON DE LIMA MWANAMITINDO ALIEFUTA MACHOZI YA MARC ANTONY

Mwanamitindo Shannon de Lima toka Venezuela ameziba pengo la J-LO kwa Marc Anthony na sasa imekuwa gumzo katika mitandao na majarida ya watu maarufu nchi za magharibi kuhusu uhusiano huo ambapo Marc amelipa kisasi cha kukimbiwa na mkewe wa ndoa ambapo kwa sasa anamdate dancer wake "Smart"

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA