WAY BACK CONCERT KUFANYIKA USIKU HUU JIJINI MWANZA.KATIKA UWANJA WA CCM KIRUMBA.

Inspector Haroon aka Babu (L) akiwa na Soggy Doggy Hunter (R) jana usiku kwenye stage la Villa Park wakiwakaribisha wakazi wa jiji la Mwanza kwenye Tamasha la Burudani ya Bongo fleva za kale litakalofanyika leo Jumamosi ya tarehe  28 juni 2014 katika uwanja wa CCM Kirumba. 

 
Inspector Haroon aka Babu akiwa sambamba na Jay Moo, Juma Nature, Suma G, Soggy Doggy Hunter na Afande Sele wakiwa chini ya usimamizi wa Dj Choka wanategemea kufanya show leo kuanzia saa 11 jioni hii katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza ambapo kiingilio ni shilingi 3,000/= Vinywaji, vyakula, kuwepo.
Utambulisho jana usiku.
yep...
gsengo na wadau

Source:gsengo

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA