PR3 USHINDI DAIMA

Habari,ukiwa kama mwana BAPRM unaombwa kuhudhuria uwanjan(R.Odinga) siku ya leo ifikapo saa 3.00pm(mchana) kuungana kwa moyo wa dhati kabisa na timu yetu katika kufanikisha USHINDI thidi ya BBA 3 kama ilivyo desturi yetu...Upatapo ujumbe huu mtaarifu na mwenzako tafadhali.BAPRM USHINDI DAIMA from CRs.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA